screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Yap WANtEd86 wakichukua Young D au Mr Blue au msanii yeyote wa aina hiyo ntawapongeza, hao ni aina ya wasanii walio flexible, Chid Benz naye ni mashine ila kwa lifestyle yake naona hana jipya kwenye mziki coz ashaharibikiwa, Young Killer sioni kama anafit kuwa kibiashara, anastyle ya aina moja na kurap na kuandika