Msanii Recho hivi ni kweli unayoongea?


Huyu binti ni darasa la saba ulitegemea nini? kuna kipindi nilikua namtaka kimapenzi nikawa natuma text za kingereza sipatiwi majibu rafiki yake mmoja akanambia bibie ni Maamuma wa kutupwa! mood yote ikaniisha!
 
Labda ndio wale wale
"Wanatoroka na wazungu, Wanamegwa na vibabu, Wanaiba waume wa wenzao uso mkavu hawana aibu"--Mwana FA
 
Huyu binti ni darasa la saba ulitegemea nini? kuna kipindi nilikua namtaka kimapenzi nikawa natuma text za kingereza sipatiwi majibu rafiki yake mmoja akanambia bibie ni Maamuma wa kutupwa! mood yote ikaniisha!

Sasa ukampotezea kisa tu hajui kiinglishi, kwa hiyo kiswahili hakina mpango ?....mmmh, sasa mwatofautiana naye nini anaposema hapendi wabongo/waswahili anapenda ngozi nyeupe.
 
Vp nilisikia tetesi za mnyama kumsumbua cjui ilifikia wapi ,mwenzake frola mbasha kavunja ukimya kazaa
 
Huyu binti ni darasa la saba ulitegemea nini? kuna kipindi nilikua namtaka kimapenzi nikawa natuma text za kingereza sipatiwi majibu rafiki yake mmoja akanambia bibie ni Maamuma wa kutupwa! mood yote ikaniisha!

Hahahahaaaa dah leo umenichekesha sana.Hata hivyo nilikua sijui kama ni darasa la saba.
 

kila mtu anajua kua wazungu na waarabu ndio mafirauni wakubwa duniani so sishangai recho kwa nini anapenda kusex na hao viumbe.
 

TID Mnyama a.k.a Warioba kala mzigo pale na inasemekana alishaanza kumvutisha hadi unga
 
Mara tano kwa siku!! Shkamoo rachel...wewe utakuwa jini mahaba sio bure
 

Kwani TID ni mzungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…