Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
nimemsikiliza pia jana nikaona kumbe kweli huyu mtu hana akili. Hajui kujieleza yani ujinga mtupu na sidhani hata kama alikua anajua kuwa kipindi kitaonekana hata na wazazi wake.
Hata kama anapenda ngozi nyeupe pale hapakua mahali sahihi kusema vile yaonyesha jinsi iq yake inavyosoma zero.
Huyu binti ni darasa la saba ulitegemea nini? kuna kipindi nilikua namtaka kimapenzi nikawa natuma text za kingereza sipatiwi majibu rafiki yake mmoja akanambia bibie ni Maamuma wa kutupwa! mood yote ikaniisha!