Hahahahaaaa...
Yule anajishaua tu.Tena hao wanaume weupe anajipendekeza kwao wanamchezea na kumuacha.Nimewahi kuona akifanya hivyo kwa jamaa fulani akaishia kuachwa tu.
Tena nasikia mchafu sana...lol
Uchafu gani?...
Yaan mchafu kwa umalaya au uchafu huu Wa kuoga na kujiweka safi yeye kama yeye
Nanukuu maneno ya Recho aliyoongea kwenye the Sporah show,sina mpenzi kwa sasa lakini mimi napenda sana kufanya mapenzi hata kwa siku naweza kufanya mara tano.
Sijawahi kufanya mapenzi na mtu wa kawaida yaani watu weusi kwa rangi mimi napenda sana Wazungu, Wahindi,Waarabu hasa rangi nyeupe
Swali kama kuna mtu anaushahidi kama recho alishawahi toka na nani.
Nilisikia anatoka na yule mwanamziki alieimba "mida ya kazi" (jina nimemsahau)!
Watu mnapenda umbea!Khaaa...
Sijui mimi.Nimesema nimesikia tu.
Atajiongeza mwenyeweee hhhhaaa
Hhhhhaaaaaaa Dullayo
Shoga sikuwezi kwa umbea aisee...
Nilishachemka hapo ujue?
Watu mnapenda umbea!Khaaa...
Sijui mimi.Nimesema nimesikia tu.
Hhhhhhaaaaaaaa mida ya kazi yolooo
Kila nikikumbuka ulivyosema MMU wamehamia huku nacheka sana....
Kila nikikumbuka ulivyosema MMU wamehamia huku nacheka sana....
Hahaaaa!!mi mwenye mmoja wao nimehama mie makopa kopa tu inahusu udaku ndo habare ya town kimeo changu kimepona bajiashuajeeee???
Hhhhhhhhaaaaaaaa Chezea Celebrities Forum weyeeeeee hoyeeeeeeee
Hahahaaaaa hakuna ubaya mwaya,ila inakera kuona watu wanajigamba kua hawapendi udaku halafu wamehamishia makazi humu!
Umeona eeh?....na kweli sijakuona muda humu.
Laki 5 yeye na wolper Laki 8