Msanii Recho hivi ni kweli unayoongea?

Msanii Recho hivi ni kweli unayoongea?

Hahahahaaaa...

Yule anajishaua tu.Tena hao wanaume weupe anajipendekeza kwao wanamchezea na kumuacha.Nimewahi kuona akifanya hivyo kwa jamaa fulani akaishia kuachwa tu.

Tena nasikia mchafu sana...lol

Yaan mchafu kwa umalaya au uchafu huu Wa kuoga na kujiweka safi yeye kama yeye
 
Nanukuu maneno ya Recho aliyoongea kwenye the Sporah show,sina mpenzi kwa sasa lakini mimi napenda sana kufanya mapenzi hata kwa siku naweza kufanya mara tano.

Sijawahi kufanya mapenzi na mtu wa kawaida yaani watu weusi kwa rangi mimi napenda sana Wazungu, Wahindi,Waarabu hasa rangi nyeupe

Swali kama kuna mtu anaushahidi kama recho alishawahi toka na nani.



Nilisikia anatoka na yule mwanamziki alieimba "mida ya kazi" (jina nimemsahau)!
 
TID mnyama si nilisikia alikuwa anapiga huu mzigo, huyu nae mzungu?
 
Mimi nilitazama kipindi hicho cha spora show juzi,aisee huyu dada ni ndondocha.
 
Hahaaaa!!mi mwenye mmoja wao nimehama mie makopa kopa tu inahusu udaku ndo habare ya town kimeo changu kimepona bajiashuajeeee???

Hahahaaaaa hakuna ubaya mwaya,ila inakera kuona watu wanajigamba kua hawapendi udaku halafu wamehamishia makazi humu!

Umeona eeh?....na kweli sijakuona muda humu.
 
Hahahaaaaa hakuna ubaya mwaya,ila inakera kuona watu wanajigamba kua hawapendi udaku halafu wamehamishia makazi humu!

Umeona eeh?....na kweli sijakuona muda humu.

Hhhhhaaaaaaaaaaa ni sheeeeederrrrrrrrrrrr
 
Ili uwe supastaa bongo lazima uwe na IQ ndogo.haka kabibi ni sample
 
Mh!!!! wahindi.....waarabu...?? maskini weeeee jamani Recho tayari mtandao wake wa ''tigo'' utakuwa na problem. Hawa jamaa uwa wanasodomise tuuu
 
Back
Top Bottom