B M F ICONIC
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 824
- 1,631
Kwa vigezo Hivi. Moja kwa moja twende kwenye Mada.
1. STREAMS KWA UPANDE WA SPOTIFY
Kwa upande wa hizi streaming platform Apple music ndo uongoza kwa kulipa vizuri ikifatiwa na Spotify, Youtube hulipa pesa ndogo zaidi. Kama unavyoona hapo chini
Ikumbukwe Diamond ni kinara upande wa Youtbe lakini kwenye platform nyingine hafanyi vizuri
Spotify hulipa wasanii pesa kwa idadi ya streaams ya ngoma walizoingiza kwenya platform hio. Na hulipa kama unavyo ona hapo chini
UPande wa spotify Diamond ana streams
280,565,117
Na Rema ana Streams 4,103,463,149
KWa streams hizo.mpaka sasa Diamond kaingiza kiasi cha 1,122,260.468 Dollars sawsawa na Tsh 3,054,914,298
Kwa upande wa Rema, kwa streams hizo ameshaingizz kiasi cha 164,138,525.96 Dollar sawasaw na Tsh 44,680,279,462
(😂 kweli mziki unalipa .Na hapo tu ni Rema sio kina Wizkd, Burnaboy na davido
Wana JF na sisi tuingie kwenye usanii kwenye hizo digital platform pesa ipo)
Ikumbukwe upande wa Streams za spotify msanii anaeongoza ukanda wa Afirka mashariki ni Sofiya nzau kutoka kenya.huyo hapo
Kgezo cha pili
2. SHOW ZA NJE YA NCHI
Upande wa Show hasa za nje ya nchi Diamond u charge 70,000 mpka 100,000 dollar sawa na Tsh 190,547,210 mpka Tsh 272,210,300. Angalia hapo chini
Kwa upande wa Rema u charge 150,000 dollar mpka 299,000. Sawa na Tsh 408,315,450 mpka Tsh 813,908,797
Angalia hapo chini
Rema amekuwa na show nyingi za nje ya nchi mfano marekani, UK n.k Hasa baada ya kutoa Album yake mpya na show alizozipata kwenye kibao vchake cha Calm down baada ya kushirikiana na selena Gomez.ngoma hio ilimpa show nyingi kama kuperfom kwnye BET,grammy na Tuzo za fifa
Kwa upande wa Diamond hana show nyingi za nje ya nchi yaani Marekani, United kingdom n.k show alizozipata ni baada ya kutoa EP yake ya FOA Ikumbukwe diamonf hajatoa tena Album tangu 2018 alipotoa Aboy from tandale. Show anazo zifanya sahivi ni za wasafi festival mikoani ili kuji boost kiuchumi.
( kweli wasanii wetu bila show za mikoani na lounge au club hawana pesa maana hata huko kwenye digital platform hawafanyi vizuri wamekomalia Youtube inayoingiza pesa ndogo zaidi ni vijembe vya Insta. Mfano ulikuwa tu wa Rema hajatumika msanii mkubwa wa Naija kam wizkid, Burnaboya na Davido
UWEKEZAJI WA DIAMOND.
Diamond hupata pesa kupitia ubalozi wa makampuni mfano Airt. Pia kupitia wasafi media.
IKumbukwe Media hutengeneza pesa kupitia matangazo, Youtube post na pesa wanazolipwa kupitia media hiyo kuonyeshwa kpitia king'amuzi.
kwa media inavyoingiza pesa itoshe kusema kua WAsafi media inaingiza pesa ndogo kwani pesa nyingi zinatumika kulipa mishahara ya watangazaji.
Wasafi media imekua ikitumika kama kumtengenezea connection n serkl pia kutangaza kazi za wasanii wa WCB (Ikumbukwe moja ya sababu ya Diamond kuanzisha Media n baada ya media z bongo kuacha kucheza ngoma zake na za wasanii wake kwenye chanel zao)
KWA KUSRMA HAYO ITOSHE KUSEMA PESA WANAZO INGIZA WASANII WA NIGERIA KUPITIA TU MZIKI(ukiachana na ubalozi na uwekezaji mwingine) NI NYINGI ZAIDI UKILINGANISHA NA PESA ZA WASANII WA BONGO WANAZOINGIZA KUPITIA USANII NA UWEKEZAJI WAO PAMOJA NA UBALOZI. Uyo alikua tu REMA JE angetumika Burnaboy, wizkid au Davido.
1. STREAMS KWA UPANDE WA SPOTIFY
Kwa upande wa hizi streaming platform Apple music ndo uongoza kwa kulipa vizuri ikifatiwa na Spotify, Youtube hulipa pesa ndogo zaidi. Kama unavyoona hapo chini
Spotify hulipa wasanii pesa kwa idadi ya streaams ya ngoma walizoingiza kwenya platform hio. Na hulipa kama unavyo ona hapo chini
UPande wa spotify Diamond ana streams
280,565,117
Na Rema ana Streams 4,103,463,149
KWa streams hizo.mpaka sasa Diamond kaingiza kiasi cha 1,122,260.468 Dollars sawsawa na Tsh 3,054,914,298
Kwa upande wa Rema, kwa streams hizo ameshaingizz kiasi cha 164,138,525.96 Dollar sawasaw na Tsh 44,680,279,462
(😂 kweli mziki unalipa .Na hapo tu ni Rema sio kina Wizkd, Burnaboy na davido
Wana JF na sisi tuingie kwenye usanii kwenye hizo digital platform pesa ipo)
Ikumbukwe upande wa Streams za spotify msanii anaeongoza ukanda wa Afirka mashariki ni Sofiya nzau kutoka kenya.huyo hapo
Kgezo cha pili
2. SHOW ZA NJE YA NCHI
Upande wa Show hasa za nje ya nchi Diamond u charge 70,000 mpka 100,000 dollar sawa na Tsh 190,547,210 mpka Tsh 272,210,300. Angalia hapo chini
Kwa upande wa Rema u charge 150,000 dollar mpka 299,000. Sawa na Tsh 408,315,450 mpka Tsh 813,908,797
Angalia hapo chini
Rema amekuwa na show nyingi za nje ya nchi mfano marekani, UK n.k Hasa baada ya kutoa Album yake mpya na show alizozipata kwenye kibao vchake cha Calm down baada ya kushirikiana na selena Gomez.ngoma hio ilimpa show nyingi kama kuperfom kwnye BET,grammy na Tuzo za fifa
Kwa upande wa Diamond hana show nyingi za nje ya nchi yaani Marekani, United kingdom n.k show alizozipata ni baada ya kutoa EP yake ya FOA Ikumbukwe diamonf hajatoa tena Album tangu 2018 alipotoa Aboy from tandale. Show anazo zifanya sahivi ni za wasafi festival mikoani ili kuji boost kiuchumi.
( kweli wasanii wetu bila show za mikoani na lounge au club hawana pesa maana hata huko kwenye digital platform hawafanyi vizuri wamekomalia Youtube inayoingiza pesa ndogo zaidi ni vijembe vya Insta. Mfano ulikuwa tu wa Rema hajatumika msanii mkubwa wa Naija kam wizkid, Burnaboya na Davido
UWEKEZAJI WA DIAMOND.
Diamond hupata pesa kupitia ubalozi wa makampuni mfano Airt. Pia kupitia wasafi media.
IKumbukwe Media hutengeneza pesa kupitia matangazo, Youtube post na pesa wanazolipwa kupitia media hiyo kuonyeshwa kpitia king'amuzi.
kwa media inavyoingiza pesa itoshe kusema kua WAsafi media inaingiza pesa ndogo kwani pesa nyingi zinatumika kulipa mishahara ya watangazaji.
Wasafi media imekua ikitumika kama kumtengenezea connection n serkl pia kutangaza kazi za wasanii wa WCB (Ikumbukwe moja ya sababu ya Diamond kuanzisha Media n baada ya media z bongo kuacha kucheza ngoma zake na za wasanii wake kwenye chanel zao)
KWA KUSRMA HAYO ITOSHE KUSEMA PESA WANAZO INGIZA WASANII WA NIGERIA KUPITIA TU MZIKI(ukiachana na ubalozi na uwekezaji mwingine) NI NYINGI ZAIDI UKILINGANISHA NA PESA ZA WASANII WA BONGO WANAZOINGIZA KUPITIA USANII NA UWEKEZAJI WAO PAMOJA NA UBALOZI. Uyo alikua tu REMA JE angetumika Burnaboy, wizkid au Davido.
Attachments
-
Screenshot_20241027-172835_Opera Mini.jpg161.1 KB · Views: 7 -
Screenshot_20241027-173151_Opera Mini.jpg214.3 KB · Views: 8 -
Screenshot_20241027-182138_Spotify.jpg173.4 KB · Views: 6 -
Screenshot_20241027-174726_Opera Mini.jpg140.7 KB · Views: 6 -
Screenshot_20241027-174726_Opera Mini.jpg164.6 KB · Views: 6 -
Screenshot_20241027-174726_Opera Mini.jpg164.6 KB · Views: 7