Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

We jamaa ni mchochezi tu. Yaani watanzania woote wameusikiliza ila wewe tu ndio umeona umevuka mipaka??

Hivi kwanini mnapenda ugomvi?

Unataka Rais Samia na yeye aanze ile michezo yenu?

Kwa Taarifa yako Mh Rais Samia yuko bize kuwaletea Watanzania Maendeleo hana muda wa kupoteza kwa vitu visivyo na msingi.

Mama Piga Kazi watanzania wapenda amani na Maendeleo tuko Nyuma yako wasikuyumbishe.
😂😂😂😘
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Umesikia kataja mama samia?, Umesikia kataja kikwete au unamwekea maneno mfomoni
 
Kama kocha wa Dunia aka ndugu mwalimu Nyerere aliitwa *mfalme juha" na bwana shebby Roby na kitabu chake kikafanywa kitabu cha kiada nchi nzima jamii ya wasomi chipukizi wakipitie wapate la kujifunza kuna ubaya gana kwa mashairi ya malenga huyu wa kizazi hiki yakiingizwa kwenye orodha ya malenga wapya ili wanazuoni chipukizi wapate lakujifunza
 
Unaonekana una mahaba sana na Mama, mwanzo nilitaka kukuunga mkono lakini nilipoendelea kusoma Uzi wako nikaona kuwa upo kishabiki zaidi hasa hapo unapoeleza eti "Jumuiya zote za kimataifa zimethibitisha kuwa anauwezo hata kuwapiku Watangulizi wake" hapa naona upo kishabiki zaidi.

Nadhani ungejikita zaidi kwenye maudhui hasi ya wimbo kuliko kuongeza vitu ambavyo huna ushahidi navyo, isitoshe maudhui ya wimbo huo ndiyo uhalisia wa hali halisi ya maisha ya Tanzania kwa sasa licha ya mapungufu yaliyopo.
 
huyo fala si ndiyo yule alikuwa apotezwe na Magu? Kumbe Magu alikuwa sahihi, kwanza wachunguze uraia wake.
Na wala hakuwahi kumsema Magu kwenye nyimbo zake anakosoa, kuanzia VIVA ROMA na hadi hii zote dongo ni Msoga. Tukio lile nina uhakika huyo mzee hahusiki lilifanywa tu awamu yake ili kupoteza mambo, maana hajawahi kukwaruzana naye wala kumtamka vibaya
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Jibu hiyo ngoma yake tukusikie na wewe
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Ni mpumbafu San huyu kijana anajionaga mweruv Sana wakt jitu limesaliwa tanga ,mwnanume gani anazaliwa tanga nae akawa mtu wa kuaminika

Dogo Ni boya sna amemdharau taasis na Bado wanamchekeee siupendi huo wimbo

Hata vyo nyimbo zake hata iweje awezi pata view za maana ataishia laki moja tu wkt kina mondi kanyimbo Cha mapenzi viewer milin nane
 
Ni mpumbafu San huyu kijana anajionaga mweruv Sana wakt jitu limesaliwa tanga ,mwnanume gani anazaliwa tanga nae akawa mtu wa kuaminika

Dogo Ni boya sna amemdharau taasis na Bado wanamchekeee siupendi huo wimbo

Hata vyo nyimbo zake hata iweje awezi pata view za maana ataishia laki moja tu wkt kina mondi kanyimbo Cha mapenzi viewer milin nane
Wewe na mtoa mada ndio nyie wajinga mnaodhani hii nchi mmerithishwa na babu zenu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Uhuru wa kujieleza haumaanishi kuvuka mipaka. Uhuru wako usivuke mipaka na kumkwaza mtu mwingine.

Nimesikia wimbo Mpya aliyouachia Msanii Roma Mkatoliki anayeishi ughaibuni akisema, "Roma tunakumisi rudi nyumbani". Sina hakika kama wapo wanaomkosa Roma.


Yote ni tisa. Kumi katika mistari ya Roma ambapo amevuka mstari mwekundu ni pale anaposema, "Mama (Samia) anaongoza yuko Ikulu lakini rimoti iko Msoga (Jakaya Kikwete).

Huku si tu Roma ametweza taasisi ya Rais lakini pia amemdharau na kumdhihaki Rais Samia Suluhu Hassan kwamba hawezi kuongoza hadi ashikiwe akili na Rais mstaafu Jakaya Kikwete jambo ambalo ni uzushi, uongo na upuuzi wa kisanii.

Roma haamini katika uwezo wa kiuongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jambo ambalo limethibitishwa na jumuiya zote za Kimataifa kuwa anaweza na ameuthibiyishia Ulimwengu kuwa anaweza tena hata kuwapiku watangulizi wake.

Wimbo unatakiwa kupigwa ban kokote na popote, kuanzia mikusanyiko ya watu: baa, maafali, harusi, misinani, vyombo vya usafiri na hata watu binafsi nadhani TCRA wanaweza. Basata isilale huku Rais Samia Suluhu Hassan anadhalilishwa hadharani na msanii Roma.

Nani yuko nyuma ya Roma? Kiburi cha kumdhihaki Rais anapata wapi? Kwanini anachekewa? Kwani hafikiki? This is too much. Roma akamatwe na kuletwa hapa nchini tukutane Kisutu kwa Pilato. Ova.

Zaidi, soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Kama vipi kunywa sumu ufe.
 
Back
Top Bottom