TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

@mods unganisheni hii na yenye taarifa similar
 
weeeeee c alikuwa anahojiwa juzi kwenye mikasi!!! duh RIP sajuki.
 
Wakuu kwa habari nilizo zipata hivi punde ni kwamba msanii maarufu wa tasnia ya filamu nchini AMEFARIKI dunia !
Its so sad. Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana Libarikiwe. Source clouds fm
 
Aisee, Mungu ampe Amani na pumziko la milele.
 
May God rest his soul in eternal peace.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ameshachuriwa sana lakini, kama bi kidude. Pole kwa wafiwa.
 
Back
Top Bottom