Uchaguzi 2020 Msanii T.I.D aitaka CHADEMA imlipe kwa kutumia neno "Ni Yeyee" kwenye kampeni zao

Huyu naona mbwimbwi limemzidia tu mpaka anaweweseka! Afanye mziki ndio kipaji alichopewa na sio kutegemeakuingiza kipato kwa slogan zake uchwara.
 
Waendelee kuwanengulia CCM wataishia kuwa na wafuasi na mashabiki na watoto wa shule
 
Kutafutiana ban hatutaki jamani ,watu tukitulia mnakuja kutuchokoza hivi kwa nini?
 
dah...ndugu zanguni chadema ni bora mkamtafuta kigogo mkamalizana nae tu,huyu jamaa ninavyomjua akili zake akianza kudeal perpendicular na huyo aliyemuibia idea yake ( Tundu lisu) aisee atamshusha sana umaarufu na kumpunguzia kura zake za urais [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Akadai haki yake Mahakamani kama hatimiliki ya neno " ni yeye".
 
Ccm ndio wamemuagiza adai, ndio maana Polepole kaongelea huo upuuzi leo?
 
Tanzania itatoka hapa ilipo baada ya watu Kama Hawa kupungua

Who Is tid
 
Aingie google aandike hiyo sentensi ndiobatajua kuwa hata yeye kaidukua kwenye kwaya.
 
Huyu dish limeshayumba,halafu Polepole naye anaishikia bango, yaani CCM safari hii wamechanganyikiwa mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…