To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Maisha yenyewe haya....πInakuwa ni ku jirembaaa tuuu ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yenyewe haya....πInakuwa ni ku jirembaaa tuuu ππ
ππππππMaisha yenyewe haya....π
Mwenyewe unanifahamu....hapa tu hayupo pekeyake....akigandia huko nabaki na hawa wengineππ€π€£π€£π€£π€£ Wengine wamevichanjia ataganda huko shauri yako
Huyo niki kupiga tukio, hutoleta makasiriko ππMaisha yenyewe haya....π
Analazimisha kuchuma mpunga wake na amepania haswaa.Hilo ndilo tatizo.Anapitia misukosuko sana, mara picha zake za ngono kuvuja na sasa jaribio la kutekwa...
Huyo niki kupiga tukio, hutoleta makasiriko ππ
NeverπHuyo niki kupiga tukio, hutoleta makasiriko ππ
ππ dyadya Kama mhifadhi wa mazingira unakata mtu unapanda mtu....Mwenyewe unanifahamu....hapa tu hayupo pekeyake....akigandia huko nabaki na hawa wengineππ€
ππππbalaaππ dyadya Kama mhifadhi wa mazingira unakata mtu unapanda mtu....
Ndio maana Nakupenda babyNeverπ
Usichoke bas,okay?!Ndio maana Nakupenda baby
ππππ kesho jioni nitakuwa na nguvu za kutoshaaa tupo fieldUsichoke bas,okay?!
Anha,sawa...kaz njemaππππ kesho jioni nitakuwa na nguvu za kutoshaaa tupo field
Usiniwazie mengine, sure nipo kazini ndani kabisa na simu yangu ikapasuka ilikanyagwa na gari, kesho ndio narudi mjini.. hukumbuki stress za siku ile ndio zimeleta hukuAnha,sawa...kaz njema
hahaaa mkuu si utabaka bint zetu kwa style hiyo?hahahaha
enzi za 2012, nakumbuka tuko na jamaa tunacheki video ya wimbo wake flani akikata mauno
daah, mi nilikua nimedinda tu mda wote,
hahaha miaka hii namaliza kwa kupanda mnazi chaphahaaa mkuu si utabaka bint zetu kwa style hiyo?