Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
Hao anaowasema wamewahi kucopy wamefanya hvyo baada ya kuwa tayari na nyimbo zilizowatambulisha walizotunga wenyewe(walisha-prove kwa fans kwamba wanaweza kusimama wenyewe),sasa huyu bwana ngoma zote mbili zilizofanya tumjue amecopy ndo nini sasa?Oky ngoja tumpe muda tutaona kama ni kipaji kweli au mzee wa photocopy