Msanii wa Bongo fleva Baraka da Prince aenda kumjulia hali Lissu

Hivi utaratibu upoje?
Mana Nilikuwa Nairobi juzi, kila wazo la kwenda kumuona linanijia sema naogopa wasijedhania mimi ndie nisiyejulikana.

Wana chadema eti utaratibu upoje na hospitali ni ipi?

Wiki ijayo nitakuwa huko
 
Amefanya jambo jema ...kijana Hongeraaa
 
Domond si yupo kny...aende na yeye basi atakuwa amefanya jambo jema sana na itamuongezea thawabu...

Embu watanzania Wema kama nyie mnaenda Hospital kuwaona wagonjwa acheni kila kitu kuikifanya habari. Kweli mmeishiwa. Ndo hapa naanza kuamini motive ya muuaji inafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…