Msanii wa Bongo fleva Baraka da Prince aenda kumjulia hali Lissu

Msanii wa Bongo fleva Baraka da Prince aenda kumjulia hali Lissu

Hivi utaratibu upoje?
Mana Nilikuwa Nairobi juzi, kila wazo la kwenda kumuona linanijia sema naogopa wasijedhania mimi ndie nisiyejulikana.

Wana chadema eti utaratibu upoje na hospitali ni ipi?

Wiki ijayo nitakuwa huko
Aghakhan hospital ipo maenneo
ya parklands 3rd limuru road

Utaratibu ndo cjui ukoje wa kwenda
Kumuona
 
Embu watanzania Wema kama nyie mnaenda Hospital kuwaona wagonjwa acheni kila kitu kuikifanya habari. Kweli mmeishiwa. Ndo hapa naanza kuamini motive ya muuaji inafanikiwa.
Wewe unapaswa kudharauliwa tu!
Poor you...
 
Hongera sana kwa tendo la kijasiri,hakika umeonyesha ubinadamu wako na hiyo ndio maana halisi ya kuwa wasanii ni Kioo cha jamii.Asante sana

27ecae54296fece7f5ac40b3da731e66.jpg
Ni kweli wasanii ni kioo lkn umesahau Wema alienda na mama ake Leo matusi kibao.
 
Hivi utaratibu upoje?
Mana Nilikuwa Nairobi juzi, kila wazo la kwenda kumuona linanijia sema naogopa wasijedhania mimi ndie nisiyejulikana.

Wana chadema eti utaratibu upoje na hospitali ni ipi?

Wiki ijayo nitakuwa huko
Nadhani ukifika hospital uongozi upo na watakupa utaratibu
 
Domond si yupo kny...aende na yeye basi atakuwa amefanya jambo jema sana na itamuongezea thawabu...
Mpk awe na hiyo akili pia suala la kumuona linatoka moyoni kutokana na ulivyo guswa
 
Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.

Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.

Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.

Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.




Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.


Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.

Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.



Kuweni makini na hao wanaoenda kumuona Tundu Lisu, acheni kuamini kila MTU.
 
we nenda tu ukamuone huko kuna makamanda kama wew ni mchaga ao mnyaturu utaruhusiwa kuingia kama wew ni msukuma basi imekula kwako utapewa kesi eti unaenda kumumalizia
 
siku hizi uzalendo unapimwa kwa kupiga picha na lisu
 
Back
Top Bottom