Msanii wa bongo fleva, Hamorapa achoma moto gari lake.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Katika hali ya kushangaza msanii wa kufokafoka Hamorapa ameonyesha video wakati akichoma gari lake.


Your browser is not able to display this video.
 
You thii you thii bikodhi dhat car πŸ˜„ πŸ˜„
 
Kuna watu wanasema hamorapa anaongea kiingereza kizuri kuliko diamond na Ali kiba πŸ€£πŸ˜πŸ˜†

Ila wabongo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…