hapa ndo napata jibu kuwa video ile haikuvuja kwa bahati mbaya..na hata ule msamaha alioomba hakustahili kusamehewa...na kuna siku atatuletea video ambayo inaonyesha papuch lake wazi..hapa ndipo wasanii wa TZ walipofikia...
Kwa kiumbe anayeitwa mtanzania, kwenye idara zote za maisha, mishipa yote ya aibu imekatika. Si wasanii, si wanasiasa si nani... inapotokea kitu kinaitwa fedha hakuna tena aibu.