Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza majibu au?Kwa hiyo alidhamilia kufanya vile au sio
Kwa kiumbe anayeitwa mtanzania, kwenye idara zote za maisha, mishipa yote ya aibu imekatika. Si wasanii, si wanasiasa si nani... inapotokea kitu kinaitwa fedha hakuna tena aibu.hapa ndo napata jibu kuwa video ile haikuvuja kwa bahati mbaya..na hata ule msamaha alioomba hakustahili kusamehewa...na kuna siku atatuletea video ambayo inaonyesha papuch lake wazi..hapa ndipo wasanii wa TZ walipofikia...