Duuh..kaka huu mzigo hata mie jana nimeugumia kwenye kideo cha bongo muviz mitaa ya east africa tv..ni noumaaa. Umejinyea huo..umesimamia kucha mpaka nikajikuta nakatiza usingizi nimpige chabo...weka full pics chief uone hilo banda la uani plus usafiri...aibuuuu.
Duuh..kaka huu mzigo hata mie jana nimeugumia kwenye kideo cha bongo muviz mitaa ya east africa tv..ni noumaaa. Umejinyea huo..umesimamia kucha mpaka nikajikuta nakatiza usingizi nimpige chabo...weka full pics chief uone hilo banda la uani plus usafiri...aibuuuu.
yupi sasa?
Wellu au HUYO Like Ibrahim?