Hahahaa bado naamini sitakukosa tena this time
Goma la stivu nyerere hilo kaoa kabisaDuuh..kaka huu mzigo hata mie jana nimeugumia kwenye kideo cha bongo muviz mitaa ya east africa tv..ni noumaaa. Umejinyea huo..umesimamia kucha mpaka nikajikuta nakatiza usingizi nimpige chabo...weka full pics chief uone hilo banda la uani plus usafiri...aibuuuu.
steve sijui aliwakosea nini watanzania hahahahaHuyu lakini si ni mke halali kabisa wa steve nyerere mbona mnatia tamaa kwa mali za mtu
steve sijui aliwakosea nini watanzania hahahaha
Mpeleke shule! muelimishe!
πππππππ Mkuu naona sifa zote umemaliza Bado ya shemeji yetu sasamtoto hatari sana huyu,yuko sexy,ana swaga za kutosha,anajua kucheze na camera ila kwa uzuri sio kivile,sema ana umbo matata sana na ni mrembo ki kweli kweli,apa wakina uwoya na wema wakae pembeni wamepata mbabe wao
Nijuavyo mimi ni mama watoto wa steve nyerere na wanaishi wote mitaa ya kinondoni
Ni KAZEZE ni KAZEZE.huyu si ndo yule dem wa stive nyerere waliye achana? kazaa na mshkaj, hvo n mama watoto wa mtu huyu, sahv anajiita amina
Huyu dada wello Sengo ashauriwe apunguze kulia Sana. Yeye Ni kulia tu na uzungu mwingi.
ππππMpaka kero kiingereza kingi
Kama amezaa na Semaji linalokataliwa la Shirikisho basi tena... NI KAZEZE NI KAZEZEhuu uzi wa zamani coment za juu hata mtoa mada nahisi mlikuwa mnamsifia huyu na kuiulizia full pc πππView attachment 2154712
laikini wellu wa leo kuna watu watafuta comment zao huko juuππView attachment 2154713yaani amedebweda sana, halafu anapenda kujiliza na kujiongelesha kiswaenglish na makope bandiaππView attachment 2154714kifupi kachuja fasta hadi bibi aunt ezekiel anaonekana kijana kwakeπππ
Ohoooo!!!!Ni KAZEZE ni KAZEZE.
Kama naelewa hivi[emoji38]Ni KAZEZE ni KAZEZE.