Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Ila chekbud kaongelea masuala ya DNA pia katika hii clipHivi inakuwaje wana bishana kwa mdomo wakati DNA ipo!!? Au ndio bwana chekibud ana tafuta kiki!!?
Halafu hata usiku mmoja mtoto anaweza kupatikana sjui elimu yake ali ipatia wapi na sijui alisoma mpaka darasa la ngapi huyo jamaa.
Am out!
Sasa ndio aka pime, maana wamebishana kama mwezo saba unaishaIla chekbud kaongelea masuala ya DNA pia katika hii clip
Yuko tayari kufanya
Duh ...utakuwa na sura common sana jamaa.Kufanana wala si ishu, mimi nimefananishwa sana hadi nikafikiria ingekuwa sura zinazofanan ni majambazi au zinafanya matukio mabaya nahisi ningekuwa segerea hadi leo. maana kila mkoa nakutana na watu wanaonifananisha....hadi sasa rekodi yangu...
Nabado, kuna watu wanaendelea kunifananisha...nashukuru si kwa ubaya maana nitabeba mzigo wa watu mda wowote aiseee!!!. Swala la kufananisha watu ni baya sana
- Morogoro....nilifananishwa na kondakta wa daladala ya mjini..kihonda
- Njombe...nilifananishwa na muuza duka la mpesa
- Dodoma.....kuna wanafunzi wa udom walisema mm nilikuwa nawatembezea vitu hivi sasa nimewakimbia
- Mwanza/misungwi.....nilifananishwa na bwana mmoja mkazi wa maeneo ya karibu
- Misenyi......walisema nafana na afisa mmoja pale ofisi za halmashauri
- Karagwe....nikafanaishwa na mtumishi wa Mungu wa kanisa la TAG
- Kahama.....nikafananishwa na mfanyabiashara mmoja
- Basihaya/bunju.....nikafananishwa na jamaa mmoja afisa wa benki ya azania
- Majimoto/mpanda...nikafananishwa na mwanajeshi na walikuwa wakiniogopa hadi naondoka hawakuamini
- Sanawari/arusha.....kuna jamaa hadi sasa tunawasiliana yaani ameniganda hadi nimechoka kukana naitikia, eti tulikuwa wote kule same wakati mm hata sijawahi kuishi same
- Vwawa/mbozi....nilifananishwa na mwalimu wa sekondari
Tusubiri mwisho waoSasa ndio aka pime, maana wamebishana kama mwezo saba unaisha
Ndugu yangu we acha tu!, nafanya maombi usiku na mchana nisijekupatwa na majanga ya watu wengineDuh ...utakuwa na sura common sana jamaa.
Kuna wale machizi flank wanakuaga wanafanana cjui kwa nn, tan utafhan ndugu, wapo wengi saaDuh ...utakuwa na sura common sana jamaa.
Dah hizi zinaa hizi?Unamkuta mwanamke disco humjui,na unamuudhi Mungu unafyeka kavu!huyu cheki budi hana tofauti na magaidi wa ISIS
Chekibud anadai mwanamke anamsingizia kuwa mtoto ni wake kwa kuwa wanafanana anadai anafanana na watu wengi na sio watoto wala ndugu
mwanamke anadai walikutana club billicanas wakafanya kwa usiku mmoja kisha akashika mimba na kuzaa
Mapaka mwananmke kamfananisha nae ujue kuwa kulikuwa na uhusiano. Jama ni Madaktari mliomo humu mtueleze ni sekunde ngapi Ujauzito unapatikana maana huenda wengi wanahitaji elimu hiyo. The kid is so cute so innocent!Kufanana wala si ishu, mimi nimefananishwa sana hadi nikafikiria ingekuwa sura zinazofanan ni majambazi au zinafanya matukio mabaya nahisi ningekuwa segerea hadi leo. maana kila mkoa nakutana na watu wanaonifananisha....hadi sasa rekodi yangu...
Nabado, kuna watu wanaendelea kunifananisha...nashukuru si kwa ubaya maana nitabeba mzigo wa watu mda wowote aiseee!!!. Swala la kufananisha watu ni baya sana
- Morogoro....nilifananishwa na kondakta wa daladala ya mjini..kihonda
- Njombe...nilifananishwa na muuza duka la mpesa
- Dodoma.....kuna wanafunzi wa udom walisema mm nilikuwa nawatembezea vitu hivi sasa nimewakimbia
- Mwanza/misungwi.....nilifananishwa na bwana mmoja mkazi wa maeneo ya karibu
- Misenyi......walisema nafana na afisa mmoja pale ofisi za halmashauri
- Karagwe....nikafanaishwa na mtumishi wa Mungu wa kanisa la TAG
- Kahama.....nikafananishwa na mfanyabiashara mmoja
- Basihaya/bunju.....nikafananishwa na jamaa mmoja afisa wa benki ya azania
- Majimoto/mpanda...nikafananishwa na mwanajeshi na walikuwa wakiniogopa hadi naondoka hawakuamini
- Sanawari/arusha.....kuna jamaa hadi sasa tunawasiliana yaani ameniganda hadi nimechoka kukana naitikia, eti tulikuwa wote kule same wakati mm hata sijawahi kuishi same
- Vwawa/mbozi....nilifananishwa na mwalimu wa sekondari