Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anastahili kuitwa SHETANIAnalishushia heshima hilo jina la Malaika
Jezebel![]()
Kwa maadili ya kitaanzani, ni kosa kupiga picha inayoonyesha sehemu au viungo vyako vya siri. Mambo kama haya yamezoeleka kufanyika katika nchi za magharibi na nchi nyingine zilizoendelea.
Hii inasababisha tukio kama hilo linapotokea kuwashangaza watu wengi kwani ni kitu ambacho hakijazoeleka miongoni mwao.
Itakumbukwa siku za hizi karibuni mashabiki wa muziki na watu wengine walimshambulia mwanamuziki Ben Pol baada ya kuweka picha Instagram inayoonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.
![]()
Kama hiyo haitoshi, mwanamuziki Malaika anayetamba na wimbo wa Rarua jana aliweka picha kwenye ukurasa wake wa Instagram inayoonyesha sehemu ya maziwa yake kitu kilichopelekea watu wengi kuweka maoni yaliyoonyesha kuchukizwa.
Baada ya mashabiki zake na watumiaji wengine wa Instagram kumsema sana, msanii huyo aliitoa picha hiyo na kuweka nyingine ambayo aliandika Your support is really appreciated. I posted a picture that I thought was edited earlier I apologise if it offended anyone . Weekend is here so relax
![]()
Mti wenye matundaChuchu zmekomaa utafkiri jiwe la kusugulia miguu
Duh!Chuchu zmekomaa utafkiri jiwe la kusugulia miguu
Kwenye pukipiki sasa duhAnunue pukipiki mkweche