Msanii wa Bongofleva Malaika, apiga picha za utupu

Msanii wa Bongofleva Malaika, apiga picha za utupu

Najaribu hata ku-photoshop lakini mpaka sasa sijaona uchi wala utupu. Wabongo wanafiki sana. Kila siku wanaona K ya mbuzi lakini hawalalamiki, kuona chakula cha mtoto aka NIDO kila mtu anajifanya mwanamaadili.
 
Nabii Fid Q alisema, 'ukiona wanavaa nusu uchi (au kuwa uchi kabisa) ujue wamechoka kuuza sura'
 
Jamani naombeni kuuliza... Huo Uchi uko wapi? au simu yangu inanificha ukweli wa huo uchi uliowekwa na mleta thread?
 
Hivi ngono na mziki vina uhusiano gani?wasanii wanaoimba nyimbo za mapenzj hawaamini kuwa ujumbe unafika bila kukaa uchi
 
xMalaika-Exavery-750x375.jpg.pagespeed.ic.Wlu3T8JYOH.jpg


Kwa maadili ya kitaanzani, ni kosa kupiga picha inayoonyesha sehemu au viungo vyako vya siri. Mambo kama haya yamezoeleka kufanyika katika nchi za magharibi na nchi nyingine zilizoendelea.

Hii inasababisha tukio kama hilo linapotokea kuwashangaza watu wengi kwani ni kitu ambacho hakijazoeleka miongoni mwao.

Itakumbukwa siku za hizi karibuni mashabiki wa muziki na watu wengine walimshambulia mwanamuziki Ben Pol baada ya kuweka picha Instagram inayoonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.

xunnamed-file.jpg.pagespeed.ic.5dz9qYzdwh.jpg


Kama hiyo haitoshi, mwanamuziki Malaika anayetamba na wimbo wa Rarua jana aliweka picha kwenye ukurasa wake wa Instagram inayoonyesha sehemu ya maziwa yake kitu kilichopelekea watu wengi kuweka maoni yaliyoonyesha kuchukizwa.

Baada ya mashabiki zake na watumiaji wengine wa Instagram kumsema sana, msanii huyo aliitoa picha hiyo na kuweka nyingine ambayo aliandika Your support is really appreciated. I posted a picture that I thought was edited earlier I apologise if it offended anyone . Weekend is here so relax

xunnamed-file-1.jpg.pagespeed.ic.Mx9PfMDcHf.jpg
Jezebel
 
Mbona amevaa nguo ya 'Nailon'? By the way ana matiti mazuri ndio maaana kathubutu kupiga. Angekuwa na ziwa ndala, wwe sidhani kama angethubutu...
 
alikuwa mzuri zamani saiz makeup nyingi..nilimpenda kwenye ushwazi take away ya chegge.
 
Back
Top Bottom