billduke
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 860
- 898
wema alivyo attention seeker azimie mara moja! thubutuu! unamjua wema unamsikia wewe! fursa hii kwake lazima afanye jina lake liwe midomoni mwa watu hapo msibani na magazetini pia.
Wema anasubiria siku ya kuaga maiti lazima aweke tukio....maana Yule dada ana ugonjwa wa Attention seeker ...usipompa lazima akununie.