Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
Bonta Ni mweusi tena mweusi halisiBonta sio kundi la weusi, na hajawai kuwa kundi la weusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonta Ni mweusi tena mweusi halisiBonta sio kundi la weusi, na hajawai kuwa kundi la weusi
Nimeshaona lililosahihi kwa aliyekuqoute mkuu.Utajua hujui
Clinical officer huyo. Kamaliza Mtwara 2005
hiyo taalauma inahusika na nini?Alisoma course ya Health System Management (HSM) nadhani kamaliza 2012.
Msanii wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi nchini Tanzania, Godfrey Nyahongo maarufu 'Bonta Maarifa', ambaye mwaka 2015 alitunga wimbo uliokosoa kabisa mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu kuwa ni 'Mauongo Time', amechukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kuwania Ubunge Jimbo la Kahama Mjini.
Bonta kitaaluma ni Daktari wa Binadamu na anafanya kazi kwenye Hospitali Kahama.
Pia soma
> Fikra pevu kutoka kwa Bonta
> Sikiliza na angalia wimbo huu wa Bonta
Tofauti ya clinical officer na Doctor ni ipi?Clinical officer huyo. Kamaliza Mtwara 2005
Ndio Nini mkuu? Au unamanisha health system management?Health information management system