mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mkuu jamaa haelewi ataishi kukupa matusi tu.Boss,
Wajomba wanakufundisha kuandika maandishi sahihi. Wewe unang'ang'ania kulia lia.
Jifunze ndugu, pengine ndio usahili unaanzia huku na hapo unapimwa.
Kujifunza ni kila siku na sio "xiku"