Sasa mbona stereo alikuwa anang'ata vidole kama anatongozwa yeye siku ile?!Stereo ndo alikua anamtongoza kupitia media asee...
#ufalasanakafanyastereo#
Alafu akatoswandio yeyee.. stereo akapga na magoti kabsa jinsi alivomzimia hahahh
Mtongozwa na mtongoza yupi anaevunja vunja vidole na kutawaliwa na aibu?!Pata details kwanza mkuu
Stereo ndio alitongoza,,,, au ndio mnaandika hivyo huko kwenu?
yaaap true dat ...sijuii bro au nani?? wereevaKiukweli ingawa simfahamu kiundani Chemical, ila anajitahidi sana kuchana,ana ladha flani hivi katika michano yake.Niliambiwa na mtu kua anasoma UD mwaka wa tatu sijui kama ni kweli lakini.
Duuh. Dogo ana sura ngumu balaaBinafsi nazikubali kiaina kazi za huyu msanii "Chemical" yuko njema sana kwenye michano,hakika akipata promo ya uhakika atatoboa,(Chibu hebu msaini huyu binti WCB)nimejaribu kumtafuta instagram sijui anatumia jina gani?
baadhi ya ngoma zake ni 'sielewi ft Saprano,iam sorry mama,na ngoma inayo hit sasa hivi ni mary mary'
Ila apunguze u "tomboy" au ndo defence mechanism ili aendelee kuitunza bikira yake?..
Boss tupe ABCSiku nimemuona mlimani city live aisee kidogo nizimie
Zile picha za Insta anafanya Sana Editing. Mfupi ka Kirikuu, sura ngumu aseeBoss tupe ABC
Nampendaga chemicalBinafsi nazikubali kiaina kazi za huyu msanii "Chemical" yuko njema sana kwenye michano,hakika akipata promo ya uhakika atatoboa,(Chibu hebu msaini huyu binti WCB)nimejaribu kumtafuta instagram sijui anatumia jina gani?
baadhi ya ngoma zake ni 'sielewi ft Saprano,iam sorry mama,na ngoma inayo hit sasa hivi ni mary mary'
Ila apunguze u "tomboy" au ndo defence mechanism ili aendelee kuitunza bikira yake?..