Msanii wa Injili atangaza kushiriki mapenzi ya Jinsia moja

Msanii wa Injili atangaza kushiriki mapenzi ya Jinsia moja

Moto wa milele unamhusu
Anamuimbia shetani
Sio wote wamuitao Bwana Bwana ndio wakristu kweli
Wapo walio wa shetani na wao watamfuata na kumuabudu
Shetani ni malaika aliyemuasi Mungu na kutupwa duniani

Wagalatia bhna mnagawa moto na pepo. Kwani ukitumia kumkumbusha aache dhambi hiyo amrejee Muumba wake utapungukiwa nini? Kiasili na uhalisia binadamu wote duniani tunatenda dhambi ila zinatofautiana tu ukubwa na udogo. Ila bora ni yule mwenye kuiacha dhambi hiyo na kuomba toba kwa Mola
 
Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Rwanda Albert Nabonibo 35,amekiri kushiriki mapenzi ya jinsia moja(Shoga).

Hii inamaanisha kuwa Nabonibo ameficha mahusiano yake kwa muda mrefu lakini hatimaye ameamua kuvunja ukimya.

Tayari ameanza kupokea ujumbe wa matusi tangu alipotangaza hadharani kuhusu mahusiano yake Siku ya Jumapili kupitia mtandao wa YouTube wa shirika moja la kidini.

Alipoulizwa na BBC iwapo ana mpenzi mmoja alisema kuwa hana mpenzi mmoja ila amekuwa akijihusisha kimapenzi na wanaume tofauti tofauti.

Licha ya changamoto anazopitia Nabonibo anasema kuwa ataendelea kumtukuza Mungu na "kumuimbia".

Chanzo:BBC Swahili.


Sasa Najiuliza Hizo nyimbo za Injili anazoimba zinalenga kuwapeleka wapi watu?Ushogani au kwa Mungu?
View attachment 1192685View attachment 1192686
hongera kwa yeye kutumia "usanii" angekuwa "muimbaji" asingefanya shughuli ya "usenge"

"usenge" wanaume wanaotumiwa makalio yao na wanaume wengine
 
albert-nabonibo424143602..jpg
albert-nabonibo424143602..jpg


Unaweza dhani Baunsa kumbe
 
Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Rwanda Albert Nabonibo 35,amekiri kushiriki mapenzi ya jinsia moja(Shoga).

Hii inamaanisha kuwa Nabonibo ameficha mahusiano yake kwa muda mrefu lakini hatimaye ameamua kuvunja ukimya.

Tayari ameanza kupokea ujumbe wa matusi tangu alipotangaza hadharani kuhusu mahusiano yake Siku ya Jumapili kupitia mtandao wa YouTube wa shirika moja la kidini.

Alipoulizwa na BBC iwapo ana mpenzi mmoja alisema kuwa hana mpenzi mmoja ila amekuwa akijihusisha kimapenzi na wanaume tofauti tofauti.

Licha ya changamoto anazopitia Nabonibo anasema kuwa ataendelea kumtukuza Mungu na "kumuimbia".

Chanzo:BBC Swahili.


Sasa Najiuliza Hizo nyimbo za Injili anazoimba zinalenga kuwapeleka wapi watu?Ushogani au kwa Mungu?
View attachment 1192685View attachment 1192686
Kwakweli ata mimi sijui maana ni kizungumkuti
 
Yesu anawataka watu kama hawa,alikuja kuwatafuta waliopotea sio kuwatafuta watakatifu.
Ili mradi tu yupo kanisani kasogea mahali ambapo Yesu ana pitapita basi ipo siku neema ya Yesu atakutana nayo hukohuko.
Akikawia akafia dhambini..basi atahukumiwa kulingana na matendo yake.

Mat 9:11-13

Mafarisayo walipoona, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?

Naye aliposikia, aliwaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.
 
Back
Top Bottom