Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Moto wa milele unamhusu
Anamuimbia shetani
Sio wote wamuitao Bwana Bwana ndio wakristu kweli
Wapo walio wa shetani na wao watamfuata na kumuabudu
Shetani ni malaika aliyemuasi Mungu na kutupwa duniani
hongera kwa yeye kutumia "usanii" angekuwa "muimbaji" asingefanya shughuli ya "usenge"Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Rwanda Albert Nabonibo 35,amekiri kushiriki mapenzi ya jinsia moja(Shoga).
Hii inamaanisha kuwa Nabonibo ameficha mahusiano yake kwa muda mrefu lakini hatimaye ameamua kuvunja ukimya.
Tayari ameanza kupokea ujumbe wa matusi tangu alipotangaza hadharani kuhusu mahusiano yake Siku ya Jumapili kupitia mtandao wa YouTube wa shirika moja la kidini.
Alipoulizwa na BBC iwapo ana mpenzi mmoja alisema kuwa hana mpenzi mmoja ila amekuwa akijihusisha kimapenzi na wanaume tofauti tofauti.
Licha ya changamoto anazopitia Nabonibo anasema kuwa ataendelea kumtukuza Mungu na "kumuimbia".
Chanzo:BBC Swahili.
Sasa Najiuliza Hizo nyimbo za Injili anazoimba zinalenga kuwapeleka wapi watu?Ushogani au kwa Mungu?
View attachment 1192685View attachment 1192686
π π π π πDuuh, Kwa hiyo nae anafikishwa Kileleni na Mwanaume mwenzie?
Kumbe msengerema tu
Kwakweli ata mimi sijui maana ni kizungumkutiMsanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Rwanda Albert Nabonibo 35,amekiri kushiriki mapenzi ya jinsia moja(Shoga).
Hii inamaanisha kuwa Nabonibo ameficha mahusiano yake kwa muda mrefu lakini hatimaye ameamua kuvunja ukimya.
Tayari ameanza kupokea ujumbe wa matusi tangu alipotangaza hadharani kuhusu mahusiano yake Siku ya Jumapili kupitia mtandao wa YouTube wa shirika moja la kidini.
Alipoulizwa na BBC iwapo ana mpenzi mmoja alisema kuwa hana mpenzi mmoja ila amekuwa akijihusisha kimapenzi na wanaume tofauti tofauti.
Licha ya changamoto anazopitia Nabonibo anasema kuwa ataendelea kumtukuza Mungu na "kumuimbia".
Chanzo:BBC Swahili.
Sasa Najiuliza Hizo nyimbo za Injili anazoimba zinalenga kuwapeleka wapi watu?Ushogani au kwa Mungu?
View attachment 1192685View attachment 1192686
"msanii" siyo "mwimbaji" .Kwahiyo mtumishi ana fyokonyolewa mtaron?