Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Ila alikiba bhana anachekesha sana nimmtu wa sitaki nataka huyu jamaa namfananisha na makonda maana hakuna jambo alilolianzisha kisha akafanikisha kwa asilimia mia.
Hili la tv mpaka leo ni kimya, mofaya ndio sijui hata habari zake ziliishia wapi. Akihojiwa ndio usiseme akiwa anaongea utadhani bilionea. Mara sihitaji walinzi mlinzi wangu ni Mungu lakini baada ya siku 2 unaona yupo na walinzi yaani ni shida tupu
 
TV ipo sema nyinyi watu wa uswahilini hamuwezi kuiona. Acha kubishabisha vitu usivyovijua.
 
Ipo katika kisimbuzi gani hiyo tv yake ni kwa ajili ya team yake au ipo ndani ya nguo za mke wake acha ushabiki maandazi


TV ni kwa ajili ya watu wa Oystersbay, Masaki na Mikocheni tu. Huko Manzese huwezi kuona.
 
Huyu bwana si wanasema ana changamoto kwenye ile ndoa yake changa, sasa mbona bado huku mnamsimanga badala hata ya kumliwaza?
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..

View attachment 352091


#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
===============


Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.

Chanzo:Bongo5
IPO kingamuzi gani>?
 
Hahahaha lowasa alisema Elimu!! Elimu! Elimu!
Hivi umeilewa vizur hiyo habari? Ni hivi unatakiwa usubscribe youtube channel ya Kiba, au ufollow page yake fb au uwe karibu na tv zote kubwa dunian kama soundicity ili badae uweze kupata nafas ya kushuhudia tukio hilo la kihistoria la uzinduzi wa Alikibatv.
Acha longo longo wewe; miaka zaidi ya 3 imeshapita sasa, raia wanaulizia hiyo tv inapatikana kwenye kisumbusi kipi? Azam, Continental, Ting, Star Times, au kipi hasa?! Au inapatikana DStv?
 
Mkuu kiba hapig show za mchangani ndiomana kafungua tv yake, kuanzia sasa ngoma zote za Mondy, harmonize utaziona live kwenye Alikibatv hahahahaha patamu hapo
😅😆😄😅😂🤣😂😄😅😃😅😂🤣🤣🤣!!! Hili hutokea pale dunia inapogoma kulizunguka jua na kutaka eti jua ndo liizunguke yeye!!!
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..

View attachment 352091


#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
===============


Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.

Chanzo:Bongo5
Vip Amina ndo kashaenda tayari
 
Back
Top Bottom