Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Msanii wa kimataifa Alikiba azindua rasmi Television yake "ALIKIBATV"

Hehehehe siku zote ukiover expect utakua disappointed.... Am sure shardcole huko aliko keshakua red kw hiii issue....... Kiba bado sanaa akazane
 
Habari wakuu!

Huku wengine wakiendelea kujivunia kuchora mitattoo ya bei ghali na meno ya dhahabu.

Msanii wa kimataifa Alikiba yeye aendelea kuitumia vyema karata yake baada kupata Shavu la sony global deal, hii leo amezindua rasmi televevision yake "ALIKIBATV" ambayo itaanza kupatikana kwny DSTV pamoja na ving'amuzi mbalimbali. Dunia nzima watu mbalimbali watapata access ya kuitazama channel hiyo.

Hongera Kiba, gooo King Kiba..


View attachment 352091

#Repost @officialalikiba with @repostapp
・・・
Caption: MAJOR ANNOUNCEMENT #5: ALIKIBA LAUNCH ALIKIBA TV IN GLOBAL PARTNERSHIP WITH ROCKSTARTV

ALIKIBA channel to give fans, broadcasters, platforms and content licensors an All Access Rockstar Pass to everything in the world of Alikiba, world class around-the-clock content.

Subscribe to the official Alikiba YouTube and Facebook Channels, Rockstar TV channels, SoundCity and several other channels around the world to be announced soon...

@RockstarTelevision #RockstarTV #KingKiba #AlikibaTV #ROCKSTAR4000 @ROCKSTAR4000 @SoundCityAfrica #Aje #KingKiba
===============

Meneja wa Alikiba, Seven Mosha, afanunua nini kitakachokuwepo kwenye Alikiba TV

Wikiendi iliyomalizika, kampuni ya usimamizi inayofanya kazi naye, Rockstar4000 imetangazakuingia naye ubia kwa kuanzisha kile kilichopewa jina ‘Alikiba TV.’

Kwa wengi taarifa hiyo iliyoandikwa kwa Kiingereza haijaeleweka vizuri na hivyo nimelazimika kumtafuta meneja wake, Seven Mosha kumuomba atupe ufafanuzi zaidi.

“Alikiba amezindua Alikiba TV ambayo ni content kuhusiana na kazi yake – matukio yote around him kikazi itakayokuwa inapatikana kwenye YouTube channel yake na pia itaanza kuoneshwa kwenye vituo mbalimbali tukianza na SoundCity,” Seven ameiambia Bongo5.

“Alikiba TV itakuwa chini ya mwavuli wa Rockstar Television,” ameongeza.

Kwa mujibu wa tangazo hilo zaidi ya Soundcity ya Nigeria, vituo vingine vya runinga dunian ivitakavyoshirikiana naye kwenye mradi huo vitatangazwa. Kwa sasa mashabiki wameombwa kusubcribe kwenye channel yake ya Youtube ili kutopitwa na chochote.

Wiki mbili zilizopita Alikiba alisainishwa recording deal na label maarufu duniani, Sony Music. Kiba anayefanya vizuri na wimbo wake Aje, amekuwa msanii wa pili baada ya Davido kusainishwa kile wanachokiita ‘global deal’ na label hiyo iliyo nyumbani kwa wasanii wakubwa duniani.


Chanzo:Bongo5
Tv vepe sasa kwny dstv inapatikana kwny kifurushi gani premium, compact plus au compact [emoji12]
 
Alikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.
Hivo hawa unaowataja kwa mafumbo mbona wenyewe wanadai hawana ugomvi ILA nyie wapambe Nuksi ndo mnatia chumvi na sukari kila kukicha
 
Mkuu kingkiba ni jeshi la mtu mmoja, pia nataka nikujuze tu, Kiba anaanzisha chuo cha mzki kama ilivyo THT, ndiomana kasema mwaka huu ni #NewYearNewKingkiba
Makubwaaaaa, uwiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiiiie auwiiiiiiiiiiiiie, kelewiiiiiiiiiiiiie
 
Alikiba anatoza dau kubwa ndiomana show zake nyingi anapigia kenya, za bongo nyingi dau dogo, ndiomana mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa msetoa tv Alikuwa ni msanii wa 3 kwa kuingiza pesa nyingi East africa kupitia show, Alifanya show chache lakin za mpunga mrefu mfano show kwenye uzinduz wa safaricom kenya, koroga festival etc, Pia mwaka jana kaamua kuja na mpango wake kuwa anaandaa show mwenyewe ili maximize profit mfano show ya "funga mwaka na kingkiba, pia mwaka huu vile vile atakuwa anasimamia show zake mwenyewe, tofaut na yule mwenzake anayeitwa na mapromota kwa tu million 20 per show.

HATER katika ubora wako mwenyewe
 
Hizo ulizozutaja ni online tv, Huwez kuipata dstv au azam, ila hii ya kiba sio Online tv, ni tv kama Cloudz tv, East Africa tv, itv, mtv etc
acha kudanganya hiyo ya kiba sio channel bali itaoneshwa ndan ya tv channel nyingineh cc SIMBA TV etc
 
TCRA ikae mkao wa kula, hawa vijana staha ni zero wataanza kupiga vigodoro kutuharibia vijana wetu.
 
dah!
kudanganywa sawa huwezi kucontrol
ila kujidanganya kuwa unachosema kuandika na kuwaza ni kweli thts a very big tatizo!
ila una moyo aiseeeee
 
Cku iz hiz tv hapa bongo zipo kama buku ivi , mara sadick tv _ayo tv_ cjui upuuz gan tv... Na mimi ninayo ruzyTV..

Hongera sana
Ila tatizo watanzania walijua ni station ya kideo kama vile ITV n.k
 
Back
Top Bottom