Msanii wa Kimataifa Alikiba kwenye headlines tena baada ya kupata dili nono hili tofauti na Sony!!

Eti dili za matangazo!!...kwa hiyo sasa mtakua mnasikliza na kutazama matangazo ya kiba sio mziki tena??...matangazo si hata mzee majuto anafanya??..wapi nyimbo na video kali??..au ndio hizo yooooo!! Yoooo!..hopeless!!

Kwa comment yako hii, kizaz chako kipo mtatani kwa uelewa, kama babu yao ndiyo una mawazo haya, basi sijui hao offsprings watakuaje
 
Hongera sana Alikiba kwa kupata kusaini na Sony ambayo itakufanya "utoboe kimataifa" kama unavyosema mkataba wako au kama wewe na mashabiki zako wanavyoamini ( lolote linaweza kutokea tuache kutabiri ) Lakini kuna tatizo la watu kuelewa kwa makusudi au kwa kutokujua kipi ndio kipi na nini ndio nini, sasa kama mkuu hapa anatuambia eti " KAWA BALOZI WA DUKA KUUUUBWA LA UUZAJI WA VIFAA VYA MUZIKI AFRIKA LA AGK, acha kupotosha ukweli kama kufanikiwa atafanikiwa tu na si kwa kuongeza chumvi kwa watu kama sisi tulio na upeo mkubwa wa mambo na si wavivu wa kusoma na kutafuta habari. KUNA SHABIKI YAKE WA SOUTH NDIO ALIMPA OFA YA KUCHAGUA KIFAA CHOCHOTE CHA MUZIKI BURE BILA KULIPIA NA SI KWAMBA KAWA BALOZI WA HIYO KAMPUNI soma hii. PICHA 10: Alikiba yupo Johannesburg South Africa... hivi ni vitu unatakiwa kujua - MillardAyo.Com Lakini pia hiyo ya kuwa balozi wa oliver jam food foundation, NI KWELI KAWA BALOZI LAKINI NI " WAKUJITOLEA" KAMA ILIVYOKUWA KWA UBALOZI WA TEMBO NA SI VINGINEVYO SEMA LABDA ATAKUWA ANAPATA POSHO NA TIKETI ZA MAHALI ATAKAPOKUWA ANAHITAJIKA TU.
 
cha kuongezea Davido kasign dili la $1mil Sony na iliwekwa wazi siku hiyo hiyo, sijajua kwa nn kwa kiba imefichwa.
 
cha kuongezea Davido kasign dili la $1mil Sony na iliwekwa wazi siku hiyo hiyo, sijajua kwa nn kwa kiba imefichwa.
We jamaa uko nyuma sana na habari za muziki na burudani kwa ujumla,mi nakushauri hebu kuwa shabiki tu hautopungukiwa na kitu. Sasa unadhani kila mkataba unaenda na mihela we wa wapi .......... Ina maana hata seven ( meneja wa kiba) alipokuwa anaelezea nini atakachonufaika nacho kiba ujakisikia ........... Ingekuwa inahusu mihela yule dada si ndio lingekuwa neno lake la kwanza........
 
Kama mtu anafanya vizuri lazima apongezwe. Tunahitaji naye awekeze na atoe ajira kwa wenzake na afanye investments.

Asisahau watoto saba alionao siyo mzaha awawekee msimamo wa maisha yao. Ni wakati mzuri kwake sasa kuwa na familia na kuachana na tabia ya kuwatongoza kina Gigy insta.

Kila la heri katika njia ya mafanikio lakini kumbuka hayo.
 
Kikubwa tuone output ya hayo madeal, sasa ni wakati wakuacha kuishi kwenye nyumba za mashuga mamy wake! Anunue nyumba akae kwake ili asiwe na stress za maisha ndo mashabiki watapata mziki mzuri, na mziki mzuri ndo mashabiki wanachokitaka
 
Povu la nini sasa? wewe uliyekuwa mbele ndo umeongea nini sasa hapo? kwa hiyo alichokuambia seven ndio umeona ndio conclusion? nimejaribu kueleza mikataba mingi sana ya local artisties haiwekwi wazi, mara nyingi inawanufahisha managements. jiongeze basi, sio kila atachokwambia seven ndio kimemaliza, kwa hiyo umeamini ally K kasign mkataba wa kusimamiwa kurecord na koshoot tu? ndio maelezo ya seven hayo uliyoyabeba wewe,kama kuna jambo lingine aliloongea seven kuhusu huo mkataba, leta wewe, zaidi ya blah, blah, za project nyingine.. lazima kuna manufaa ambayo anayapata hayako wazi, Ally kiba sio cheap kiasi hicho. next time jiongeze... kumbuka kuwa Ally kiba aliwahi kuwa na conflicts na Sony,... sio lazima nikuelezee maana wewe source zako ni story za meneja.
 
Kwa comment yako hii, kizaz chako kipo mtatani kwa uelewa, kama babu yao ndiyo una mawazo haya, basi sijui hao offsprings watakuaje

wewwe ni mmoja wa mabbwege ambao huwa siwashangai hapa!
 
Hongera zake
Ila isiwe hawa sony ndio wale wakina rosemuhando na keko ( wa uganda ) na nakaya sumari waliwasainisha halafu wakapotea kimya ghafla
 
Kuna mtu anaitwa David Bisbal. Huyu jamaa Yuko chini ya Sony kwa more than a decade. Ashapewa shavu na watu Kama Miley Cyrus, Rihanna na wengineo, lakini Mimi bila kuishi nchini kwao nisingemfahamu. Kwahiyo kuwa chini ya lebo yoyote kubwa sio mwisho wa kila Kwenye game. Juhudi binafsi inahitajika bila kusahau bahati ya mtu.
 
We kweli Funza, sasa nisimuamini Meneja wake, ila unanilazimisha nikuamini wewe ambaye si meneja wake halafu unajiona uko sawa............... Halafu angalia jinsi ulinzokuwa funza eti "mikataba mingi ya local artisties haiwekwi wazi" LAKINI KICHWA CHA HABARI YAKO UNATUAMBIA HUYU NI "MSANII WA KIMATAIFA" huku ndani unasema yeye ni local artist, sasa kwa "UNDUMILAKUWILI" = (unafiki) huu unanitaka nikuamini wewe na si meneja wake, ziko sawa kichwani wewe .......... Manufaa anayapata kweli na keshayaeleza MENEJA WAKE usilete blah blah hapa,labda uniambie wewe ndio SEVEN MWENYEWE.
 
watakuloga oh!
mtu ana deal za kimataifa af we unaleta taarifa zako hizi
ahaahahahhahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…