Msanii wa Marekani Neyo aguswa na mapokezi makubwa ya diamond kigoma nakumpa cheo Cha uking mond

Sarcasm mkuu [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond amejituma sana. Huyo mwingine enzi hizo alikua ana fanya kazi kwa mazoea
 
sisi kama mashabaiki wa king huwa tunashangaa sana.inakuwaje watu fulani watulazimishe tuone vile wanavyoona wao??

yaani mimi nimchague farid kubanda kama mfalme wangu wa rhymes wewe unune kwamba haiwezekani,mimi nina roho ya kichawi[emoji28][emoji28][emoji28].

kwanini huwa hivi hii!!!
kila mtu anayo haki ya kuona vyovyote,kama umeona huyu ni mfalme wako,sisi hatuna uwezo wa kukupangia,shida ni pale unapotaka kutupangia sisi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…