Msanii wa muziki Shilole acheza utupu huko Ubelgiji na kuzua kizaazaa

Msanii wa muziki Shilole acheza utupu huko Ubelgiji na kuzua kizaazaa

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,325
Reaction score
2,491
Salam ndugu wanaMMU,

Habari zimeenezwa kupitia vyombo vya habari kuwa Shilole azua utata baada ya kucheza utupu wakati anapiga show huko Ubelgiji, ndipo nikaona nije na habari hii kama sehemu ya kuanzia.

Hii tabia ya dada zetu kucheza nusu uchi na wakati mwingine kucheza utupu, wengine kutembea nusu uchi barabarani, kimaadili siyo tabia njema. Sasa tuje katika ukweli na uhalisia, maana hawafanyi wala haitokei kwa bahati mbaya.

Kina dada wakati mwingine na wamama wakazi wa Dar wamekithiri kwa tabia hii hasa kwenye kumbi za starehe, burudani, hata mitaani. Wengine wanaboost maziwa, wengine makalio, wengine wanapiga piga picha wanasambaza!

Tumtumie huyu Shilole kama mfano tujadili tatizo ni nini?


Karibu
 
Tatizo anadonolewa na kitoto. hakimmalizi nyege zake. anajinadi kwa wazungu.
 
Inaonesha wanawake wengi wanatamani watu hasa wanaume waone nyuchi zao kwa sababu kila mwanamke anaamini kuwa nyuchi yake ndio nzuri!
 
Basi utuondolee majungu hapa, utatuleteaje habari isiyokuwa na ushahidi alafu utegemee tukuamini..

Fanya kazi acha majungu hayalipi

Pengine na wewe ni mmojawapo ya wanaofanya hiyo tabia, jitumie kama mfano halisi utuambie lengo lako
 
kama ni yuko Ubelgiji, tatizo ninini? huko kuwa nusu uchi ni kitu cha kawaida tu.
 
Back
Top Bottom