Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Msanii wa muziki wa hip hop kwenye muziki wa Bongo Fleva, Chemical wiki hii amehitimu masomo yake ngazi ya Masters of Arts in Heritage Management ambapo hatua hiyo imemfanya kupata 'Scolaship' ya kwenda kusoma PHD nchini Scotland katika chuo ambacho amesoma Prince Harry.
Rapper huyo amemshukuru mwalimu wake Chumbaki kutoka mradi wa Urithiwetu aliyenisimamia mpaka nikafanikisha vyote hivyo.
Rapper huyo amemshukuru mwalimu wake Chumbaki kutoka mradi wa Urithiwetu aliyenisimamia mpaka nikafanikisha vyote hivyo.