Msanii wa Nandy, Yammi ni moto wa kuotea mbali

Msanii wa Nandy, Yammi ni moto wa kuotea mbali

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
887
Reaction score
2,010
Huko usafini nadhani hadi muda huu watakuwa wamechanganyikiwa baada ya muda mrefu kumkosa Nandy African Princess.

Sasa Msanii mkubwa wa kike wa bongo fleva amemsajili msanii aitwaye Yammy tz mwenye sauti yake Zuchu akasome.

Naona sasa upande wa pili sidhani kama kunakalika.huyu dada anasauti nzuri na hiko unique na anaweza kuimba live, Tofauti kabisa na huyo mnayemwita sijui zuchu label ndo inambeba.


 
Huyu
Screenshot_2023-01-21-11-33-52-967_com.google.android.youtube.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sina timu mkuu Mimi unapenda mziki mzuri, ila kitendo cha kumsifia msanii mpya kwa kuponda upande fulan nimeelewa kwanini umejiita ujinga
Una ushamba mwingi...jina si mtu anaamua kutumia angalia nimejiunga jf lini..
Mwisho wa siku nafanya kile ninachojisikia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Una ushamba mwingi...jina si mtu anaamua kutumia angalia nimejiunga jf lini..
Mwisho wa siku nafanya kile ninachojisikia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama hiyo ni account yako ya kwanza humu jf basi sipaswi kubishana na wewe juu ya muda niliojiunga, pia main point yangu haikuwa hiyo bwana ujinga..
 
Huko usafini nadhani hadi muda huu watakuwa wamechanganyikiwa baada ya muda mrefu kumkosa nandy african princess...

Sasa Msanii mkubwa wa kike wa bongo fleva amemsajili msanii aitwaye Yammy tz mwenye sauti yake Zuchu akasome.

Naona sasa upande wa pili sidhani kama kunakalika.huyu dada anasauti nzuri na hiko unique na anaweza kuimba live, Tofauti kabisa na huyo mnayemwita sijui zuchu label ndo inambeba.


Sauti yake na uimbaji wake unafanana sana na Jolie na Natasha lismo, kifupi ni mvinyo ule ule kwenye chupa mpya
 
Kama hiyo ni account yako ya kwanza humu jf basi sipaswi kubishana na wewe juu ya muda niliojiunga, pia main point yangu haikuwa hiyo bwana ujinga..
Nimejifunza sana maisha kubishana na mtu kwa hoja na wala sio kuwa na direct attack kulikuwa na umuhimu gani wa kuniqoutes jina langu...

Na ndo maana nikakuona bado limbukeni kwa hiyo ningenljiita mpalange mfano ndo ingekuwa watu wanavyomaanisha hilo neno...

Id ya jf haiusiani na uhalisia unaotaka kuongelea wewe...ungeniuliza kwanza lengo la kufungua id ya jina hili

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nimejifunza sana maisha kubishana na mtu kwa hoja na wala sio kuwa na direct attack kulikuwa na umuhimu gani wa kuniqoutes jina langu...

Na ndo maana nikakuona bado limbukeni kwa hiyo ningenljiita mpalange mfano ndo ingekuwa watu wanavyomaanisha hilo neno...

Id ya jf haiusiani na uhalisia unaotaka kuongelea wewe...ungeniuliza kwanza lengo la kufungua id ya jina hili

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hakuna haja ya kuzunguka mkuu nimekuita sababu nimeona ulichoandika na jina vina sadifu.. Msanii ni mzuri ila uandishi umekaa kimahaba na sikukuita kwa nia mbaya sadly ukapaniki na kuniita wcb fan anyway leo hii platform au jaymelody kutoka kwao harmonize atashindwa kukaa!!? Sometimes tujifunze kuficha ujinga tulio nao,
 
Hivi wako wapu hawa watu...

Ila anatakiwa ajifunze miondoko ya kuchangamka mziki wa bongo unahitaji makelele sana amuulize mwenzake marioo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Natasha Lisimo amehamia kwenye muziki wa Injili anafanya vizuri pia.

Jolie sifahamu huenda alishapata bwana hivyo akapunguza kujihusisha na muziki.
 
Hivi wako wapu hawa watu...

Ila anatakiwa ajifunze miondoko ya kuchangamka mziki wa bongo unahitaji makelele sana amuulize mwenzake marioo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yes anatakiwa kubadili miondoko ichangamke kidogo. Lakini ukiangalia muziki wa Tanzania nyimbo za miondoko ya taratibu zinaishi muda mrefu kuliko za miondoko ya haraka.
 
Kwenye mziki wa bongo fleva Wasafi ni kipimo na ndio maana hata wewe umetengeneza mazingira iyonekane Wasafi wamembania.

Ila msanii hakuzwi kwa ushindanishwa na upande .wengine nazani umewaona madogo wa Kondegang. Cha msingi mtieni nguvu Nandy hasichoke kumpush na kuwekeza kwake na dogo aongeze bidii.
 
Back
Top Bottom