Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipata bwanaJolie sifahamu huenda alishapata bwana
Za Dubai au bongo?kesho utasikia ana miliki bilioni 200
Huko usafini nadhani hadi muda huu watakuwa wamechanganyikiwa baada ya muda mrefu kumkosa Nandy African Princess.
Sasa Msanii mkubwa wa kike wa bongo fleva amemsajili msanii aitwaye Yammy tz mwenye sauti yake Zuchu akasome.
Naona sasa upande wa pili sidhani kama kunakalika.huyu dada anasauti nzuri na hiko unique na anaweza kuimba live, Tofauti kabisa na huyo mnayemwita sijui zuchu label ndo inambeba.
Kujiunga kuna uhusiano na mada?Una ushamba mwingi...jina si mtu anaamua kutumia angalia nimejiunga jf lini..
Mwisho wa siku nafanya kile ninachojisikia
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama jina lako limeakisi post yako(kwa mujibu wa aliyenukuu jina lako) ulitaka akwepeshe hiyo straightforward and obvious truth?Nimejifunza sana maisha kubishana na mtu kwa hoja na wala sio kuwa na direct attack kulikuwa na umuhimu gani wa kuniqoutes jina langu...
Na ndo maana nikakuona bado limbukeni kwa hiyo ningenljiita mpalange mfano ndo ingekuwa watu wanavyomaanisha hilo neno...
Id ya jf haiusiani na uhalisia unaotaka kuongelea wewe...ungeniuliza kwanza lengo la kufungua id ya jina hili
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Napenda sn saut ya jolie, sijui yupo wapi huyu dd.Natasha Lisimo amehamia kwenye muziki wa Injili anafanya vizuri pia.
Jolie sifahamu huenda alishapata bwana hivyo akapunguza kujihusisha na muziki.
Duuh, Bongo bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nandy ni bakhiri aseeeh kaanza kumpa nguo zake za zaman msanii wake, hataki kumnunulia mpyaaa.
Waja wanasema simanzi yatandaa, lol. View attachment 2489907
nazan wewe utakuwa mjinga, kwan wasafi ndio wanawasanii wa kike tu bongoflevanian,na kwann useme usafiri,je usafini waumie kisa nn,
Kuna kila dalili ya huyu binti kulipishwa bilioni 600 wakati anataka kuondoka kwenye lebo...huwa yanaanza hivi hivi🐒[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nandy ni bakhiri aseeeh kaanza kumpa nguo zake za zaman msanii wake, hataki kumnunulia mpyaaa.
Waja wanasema simanzi yatandaa, lol. View attachment 2489907