Msanii wa siku nyingi wa bongo movie Jb amestaafu kuigiza bongo movie,

Sekta hii inaelekea kuzama inahitaji aibuke mtu mwenye kiu ya kufika mbali kama alivyoibuka diamond kwenye mziki ndipo wengine nao watafuta.
Hawawekezi vya kutosha kwenye production, unakuta mtu mmoja ndiye anaandika script za 80% ya movies zao.
Hawakk serious, budget ndogo, wanaangalia zaidi makalio na maumbo ya waigizaji wa kike kuliko vipaji.
 
Duuuuuh,sijui ile mijimama isiyokuwa na kazi za kufanya itaangalia nini .....Maana ndio zilikuwa muvie zao hizo.
 
Imearibu Bongo movie kwa kuiingiza kwenye siasa za majukwaaani alafu inaondoka bila aibu kabisa
 
Aisee sasa mi nilikua nikijikaza sana naangalia movie za Jb au Gabo sasa ndo basi tena
 
Siasa imeua bongo movies....

Sent from mTalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…