Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona hizo tattoo kwenye makalio, zaidi ya kuwa kiunoni... so this is simply a junk/c.r.a.p!....... in the trunk?
bora mie tatoo yangu ipo unyayoni tehMpaka achorwe hapo huyu atakuwa kashaliwa 0713 na aliyemchora...
Hapo atakuwa anuka mashuzi tuu..
Hivi huyu mwanamuziki wa Bongoflava... NEy wa Mitego aliyeimba "Makahaba wenye viwango wako Bongo Movie" alikosea au aliwaonea wasanii wa Bongo Movie? Nafikiri ni vyema tukatafakari kuhusu suala hiliAnother junk...
Bongo supa staa ni kile waingereza huita monkey, see monkey do. Usishangae kesho akafanya mambo mengine kama usagaji baada ya kuona mastaa wa majuu wanavyofanya. Hamjaona wanavyojifanya kuigiza kiingereza au kukizungumza wakati wengi hakipandi na kama kinapanda wanakitumia mahali si pake? Ulimbukeni ni asili yao na usupastaa bongo si kingine bali ulimbukeni. Hata baadhi ya viongozi wamo kwenye kundi hili la malimbukeni. Wanapewa jezi za mpira kila waendako na hawang'aki. Huenda nao watachora tatuu siku si nyingi.