Msanii wa Sinema za Bongo Achora tatuu hadi kwenye makalio

Hii sio Habari ni Promo ..haya Mama Tutakutafuta ..unAitwa. Nani vile RAyuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
mbona umetunyima muendelezo kwa chini?
 
Mpaka achorwe hapo huyu atakuwa kashaliwa 0713 na aliyemchora...
Hapo atakuwa anuka mashuzi tuu..
 
anajua akisema amechora makalio wengi mtataka kuyaona na ili kuyaona ni mpaka maelewano fulani mkishaelewana hajapata mteja bado,biashara ubunifu bana long life jf.
 
Mi sioni tatizo la yeye kuchora tatoo mpaka huko anpotaka,ila tatizo ni picha zake za kumuonyesha tatoo zake,ambazo bf wake ndo angepaswa kuziona...
Au ndo biashara matangazo
SAMAHANI LAKINI.....
 
Another junk...
Hivi huyu mwanamuziki wa Bongoflava... NEy wa Mitego aliyeimba "Makahaba wenye viwango wako Bongo Movie" alikosea au aliwaonea wasanii wa Bongo Movie? Nafikiri ni vyema tukatafakari kuhusu suala hili
 

Mkuu.!, kweli umenikumbusha issue moja.., sijui ndio ulimbukeni kama unavyosema au umbumbu wa kutojua mambo.., wewe umeona wapi, Mkubwa sana anatowa zawadi ya sanduku nzuri tuu lenye nakshi za asili ya Zenji.., yule Mzungu inreply anampa Jezi ya Mpira...ivi kweli ata ukilinganisha thamani ya vitu viwili ivi vinaendana kweli?..na unapokea kwa madoido ya picha za Michuzi..., kweli ulimbukeni mbaya.
 
Heading na hali halisi tofauti kabisa. Ukanjanja mwingine wa kureport? Toka lini kiuno kikawa makalio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…