Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Haha haaKumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Watanzania hamna jema badala mumpongeze kijana wa watu mnabeza.Kumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Sijabeza.Watanzania hamna jema badala mumpongeze kijana wa watu mnabeza.
Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
Usione wahaya wanasemwa sana, ila watu wa Mara wana sifa sawa na za Wahaya yani wana sifa balaa sema uwa wanafanishwa na wahaya kwakuwa ndo washakuwa na sifa hiyo.Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
Kabisa,jamaa kukaa kote nje ya nchi kupiga BOX yaani amemiliki shule ya nursery? Angekuwa na Project ya shule kama ya St. Mary ndio ningemuelewa.Kumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Mkuu una kashule kako nini ka mtindo huo maana si kwa mchanganuo huo.Siku hizi ukipata watoto wa kuwavalisha jezi za taifa stars, frame ya duka utakayoweka ubao mbele pamoja na kuchora picha za wanyama na majina yao ya kiingereza ukutani ukamalizia na 'A for apple' na kabinti kalichofeli form 4 atumike kama mwalimu basi tayari na wewe una shule. Tena English medium kabisa. Cha ajabu mtoto akirudi nyumbani anaimba Nyegezi huku akijua demu mpya wa Diamond anaitwa nani na Amber Rutty katoa video gani ndio hapo unajiuliza alikuwa anafundishwa kupitia Instagram au.
Umejuaje binti? Na wewe umefeli form 4 mrembo nikupe kazi ya kufundisha?Mkuu una kashule kako nini ka mtindo huo maana si kwa mchanganuo huo.
Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
😳😳😳aiseeeeWakazi anaupenda muziki ila muziki haumpendi, akomae kwenye ujasiriamali maana asitegemee kutoboa kupitia muziki