Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Roho mbaya ni kilema.Kumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Mkuu endelea kutembeza bahasha mpaka miguu iote sugu, mambo mengine waachie wenyewe.Siku hizi ukipata watoto wa kuwavalisha jezi za taifa stars, frame ya duka utakayoweka ubao mbele pamoja na kuchora picha za wanyama na majina yao ya kiingereza ukutani ukamalizia na 'A for apple' na kabinti kalichofeli form 4 atumike kama mwalimu basi tayari na wewe una shule. Tena English medium kabisa. Cha ajabu mtoto akirudi nyumbani anaimba Nyegezi huku akijua demu mpya wa Diamond anaitwa nani na Amber Rutty katoa video gani ndio hapo unajiuliza alikuwa anafundishwa kupitia Instagram au.
Ujinga wa hii mitandao unaweza kuta wewe ndie unanifungulia mlango kila asubuhi ofisini kwangu na shikamoo juu japokuwa una mvi mpaka pakutolea haja kubwa. Ila kwa vile kuna fake id's unakuwa huru kusema utakacho kwa vile hatujuani kwa majina fake.Mkuu endelea kutembeza bahasha mpaka miguu iote sugu, mambo mengine waachie wenyewe.
Kumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
asije akawa anatafuta sifa za umiliki kumbe ni ya mzee wasira
Mpvmbavu. Nimekupuuza.Ujinga wa hii mitandao unaweza kuta wewe ndie unanifungulia mlango kila asubuhi ofisini kwangu na shikamoo juu japokuwa una mvi mpaka pakutolea haja kubwa. Ila kwa vile kuna fake id's unakuwa huru kusema utakacho kwa vile hatujuani kwa majina fake.
Hongera na wewe umecomment mkuu sasa unaweza pumzika baada ya kiporo cha pilau ya xmass hapo kwa shemeji yako.
Uzi mwingine unaoonyesha chuki ya Vijana wa kibongo dhidi ya kijana mwenzao!
Kwa hali hii kuna tatizo
Na ndio hawa eti unaweza ukaja na wazo mshirikiane?Noma sana...nasoma hizi comments aisee ni chuki tupu...na mtaani hali ni hivi hivi...
Na ndio hawa eti unaweza ukaja na wazo mshirikiane?
Watakupa mawazo gani?
Haya mambo yalinifanya nikajiondoa kwenye magroup yote na nikafuta na Watsap app kwasababu unakuta hakuna kujadili kama Vijana tufanyeje tutoke hapa tulipo ila Kila uchwao kuponda anayejaribu!
Anajifanyaga much know etiHuyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
Naskiaga sana ilo jina ila sijui ata nyimbo yake moja.Wakazi anaupenda muziki ila muziki haumpendi, akomae kwenye ujasiriamali maana asitegemee kutoboa kupitia muziki
HuyohuyoNaskiaga sana ilo jina ila sijui ata nyimbo yake moja.
Kuna kipindi alikua kama ndo manager wa jaydee ama sio huyu??
Sent using Jamii Forums mobile app
He he heKumiliki shule ya Nursery wala siyo kazi mradi uwe na chumba kikubwa na ubao wa kufundishia.
Mshauri nikki mbishi ajaribu kufanya na biashara nyingine maana kwa attitude aliyonayo akitegemea mziki atakuwa analalamika tu kila siku na njaa itamuua.
Nikki nadhani pombe na bangi maana anakuwa kama amechizika kule twitterMshauri nikki mbishi ajaribu kufanya na biashara nyingine maana kwa attitude aliyonayo akitegemea mziki atakuwa analalamika tu kila siku na njaa itamuua.
Nikki mbishi akivuta bange atatembea uchi.Nikki nadhani pombe na bangi maana anakuwa kama amechizika kule twitter
Sent using Jamii Forums mobile app