Msanii Wakazi: Namiliki shule maeneo ya Ukonga

Msanii Wakazi: Namiliki shule maeneo ya Ukonga

Siku hizi ukipata watoto wa kuwavalisha jezi za taifa stars, frame ya duka utakayoweka ubao mbele pamoja na kuchora picha za wanyama na majina yao ya kiingereza ukutani ukamalizia na 'A for apple' na kabinti kalichofeli form 4 atumike kama mwalimu basi tayari na wewe una shule. Tena English medium kabisa. Cha ajabu mtoto akirudi nyumbani anaimba Nyegezi huku akijua demu mpya wa Diamond anaitwa nani na Amber Rutty katoa video gani ndio hapo unajiuliza alikuwa anafundishwa kupitia Instagram au.
Mkuu endelea kutembeza bahasha mpaka miguu iote sugu, mambo mengine waachie wenyewe.
 
Mkuu endelea kutembeza bahasha mpaka miguu iote sugu, mambo mengine waachie wenyewe.
Ujinga wa hii mitandao unaweza kuta wewe ndie unanifungulia mlango kila asubuhi ofisini kwangu na shikamoo juu japokuwa una mvi mpaka pakutolea haja kubwa. Ila kwa vile kuna fake id's unakuwa huru kusema utakacho kwa vile hatujuani kwa majina fake.
Hongera na wewe umecomment mkuu sasa unaweza pumzika baada ya kiporo cha pilau ya xmass hapo kwa shemeji yako.
 
Wewe unaweza nini?
Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
 
Ujinga wa hii mitandao unaweza kuta wewe ndie unanifungulia mlango kila asubuhi ofisini kwangu na shikamoo juu japokuwa una mvi mpaka pakutolea haja kubwa. Ila kwa vile kuna fake id's unakuwa huru kusema utakacho kwa vile hatujuani kwa majina fake.
Hongera na wewe umecomment mkuu sasa unaweza pumzika baada ya kiporo cha pilau ya xmass hapo kwa shemeji yako.
Mpvmbavu. Nimekupuuza.
 
Noma sana...nasoma hizi comments aisee ni chuki tupu...na mtaani hali ni hivi hivi...
Na ndio hawa eti unaweza ukaja na wazo mshirikiane?
Watakupa mawazo gani?

Haya mambo yalinifanya nikajiondoa kwenye magroup yote na nikafuta na Watsap app kwasababu unakuta hakuna kujadili kama Vijana tufanyeje tutoke hapa tulipo ila Kila uchwao kuponda anayejaribu!
 
Kweli mkuu...hayo magroup ya WhatsApp na mimi nawazaga nijitoe manake ni kuitana kwenye bata tu na kuchunguzana tu flani anaishi vipi?...ila siku hizi kuna chuki sana
Na ndio hawa eti unaweza ukaja na wazo mshirikiane?
Watakupa mawazo gani?

Haya mambo yalinifanya nikajiondoa kwenye magroup yote na nikafuta na Watsap app kwasababu unakuta hakuna kujadili kama Vijana tufanyeje tutoke hapa tulipo ila Kila uchwao kuponda anayejaribu!
 
Huyu jamaa nilijuaga ni mhaya mpaka nilipoambiwa ni jamaa ya mzee wasira..Yani mseng anajua kila kitu wanamuita msanii wa twitter anajikuta anakubalika kinoma cha ajabu ata ukonga yenyewe hakuna anaemjua analazimisha fani... aendelee kuwa dalali wa magari muziki hawezi kabisa anarap rap tu.
Anajifanyaga much know eti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom