Daaah kweli bidada unasikiliza miziki mizuri, japo huyo hapo ni hip hop sio bongo flevaP mawenge😜
Aaah teena???P Mawenge hawezi kuingia hata top 30 ya waliofanya vizuri..
Au ni mshkaji wako unampigia pande kidogo humu jeifu[emoji3]?
Sharauti sanaDah wala hata simfahamu ila nilisikiliza nyimbo yake anawasema wanaume legelege kwamba ni pisi kali kiukweli inachekesha na nyingine kashiriki inaitwa "fanya wewe" yupo vizuri bana
Mchizi ni hip hop artist so kumuweka kwenye category hiyo ya kibongo fleva haitokua poaNamjua fresh hupo P the Mcee..
But ndo hivyo,hawezi kumake top 30.
Kumbe hadi fanya wewe umeusikiliza??..nyimbo za wagumu hizi mtoto mzuri.
???no one ndo huyo uliemuweka kwenye avatar yako?
P the mc akifanya ngoma na zaid, huwa wanaendana sana, ninanyimbo zao nyingi ki ufupi namkubari sana p, hata songa pia yupo vizuri, ila me ni shabiki mkubwa wa p the mc, hajawahi niangusha kwenye ngoma zake
Pamoja mkuu, are you a fan too?Sharauti sana
Yes I'm a huge fan of him and hip hop in generalPamoja mkuu, are you a fan too?
Kumbe bongo flavour ni tofauti na nyimbo za hip hop? Mimi najuaga zote ni bongo flavour ila kuna hip hop na za kulialia humo ndani😀Daaah kweli bidada unasikiliza miziki mizuri, japo huyo hapo ni hip hop sio bongo fleva
Aisee siku mtag huyo dizasta basi japo tumpe gwalaYes I'm a huge fan of him and hip hop in general
Soon atakuja jf hapa, dizasta tayari tupo nae humu
Dizasta VinaAisee siku mtag huyo dizasta basi japo tumpe gwala
Aseee kumbe yupo, akija mawenge ntamwambia aniuzie albamu ya "mwenge kiwalani" ( high quality)
Dizasta VinaKama dizasta vina yupo humu basi afunguliwe special thread tuwe tunachat nae atupe muongozo wa projects zake
Album
Videos huko u tube
Na show zako
Am big fan wa dizasta vina kijogoo, 8 miles
[emoji91][emoji91][emoji91]