[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Hakuna mwengine wa kumsikia
Kwenye maskio yaaangu
Hakuna mwengine wa kumuona
Kwenye macho yaangu
Nibebe nibebe honey nishushe mahabani aah
Nigege nigege
Me kwako tahabani"...
Kumbe ule wimbo ni wake!! Kawimbo katamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaka shemeji usinitafute la rohoni tafadhali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Christopher Maurice BrownHeri ya chrismas na mwaka mpya!
nianze kwa kusema mimi sio shabiki wa bongo flavour napendelea sana hip hop na jazz
lakin hapa acha nitoe hii tathimin yangu kwenye bongoflavour kwa mwaka 2021 ambao tumeacha siku chache kuumaliza
kwenye muziki wetu wa bongo flavour naona jamaa marioo amefanya vema sana mwaka wote wa 2021 sana. almost ngoma zake zote alizotoa ndani ya mwaka 2021 ni kali na zimekuwa hit songs
nikiambiwa nimtaje msanii wabongo flavour aliefanya vizuri kwa mwaka 2021 basi ningesema marioo.
kwa upande wenu jf vipi?
mbali na huyo nilie mtaja, nani unaona amefanya vizurii zaidi mwaka 2021 kwenye bongo flavour?
mtu ambaye amezingua kwa mwaka huu naona ni ray vanny.. sisemi kama hajui, ila ajawa amsha amsha kwa mwaka huu.
Don kama donDon Nalimi
Wewe na mdogo wako sijui huyu ally aliwapaga nini. Ukimsema huyu bwana vibaya tuu hapakalikiKaka shemeji usinitafute la rohoni tafadhali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usimguse kabisaaaaa!
Kwa management ipi ?MARIOO[emoji1430][emoji1430]! Kama mziki wa bongo una hela basi jamaa mwaka huu atakuwa kaingiza kitita kuzito sana!
Yaani inakuwa vita ya 4 ya dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe na mdogo wako sijui huyu ally aliwapaga nini. Ukimsema huyu bwana vibaya tuu hapakaliki
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Uko deepDah wala hata simfahamu ila nilisikiliza nyimbo yake anawasema wanaume legelege kwamba ni pisi kali kiukweli inachekesha na nyingine kashiriki inaitwa "fanya wewe" yupo vizuri bana
Hip hop ya bongo Ni bongo fleva...bongo fleva Ni mziki wowote wa kibongo(by wabongo for wabongo)Mchizi ni hip hop artist so kumuweka kwenye category hiyo ya kibongo fleva haitokua poa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nahamia weusiP mawenge[emoji12]
Bongo fleva means n muziki wowote wa kitanzania .... hata hao wanaofanya hip-hop still tunawaweka kundi la Bongo fleva seme n ile ubishi kwamba neno Bongo fleva limekaa km laini lainiKumbe bongo flavour ni tofauti na nyimbo za hip hop? Mimi najuaga zote ni bongo flavour ila kuna hip hop na za kulialia humo ndani[emoji3]
mkuu usichanganhe mambo hip hop haiusiani na bongo fleva hata kidogoBongo fleva means n muziki wowote wa kitanzania .... hata hao wanaofanya hip-hop still tunawaweka kundi la Bongo fleva seme n ile ubishi kwamba neno Bongo fleva limekaa km laini laini
management inaweza ikawa mbovu au msanii anaweza akawa hana kabisa hiyo management yenyewe lakin kama masanaa atoi boko kwenye nyimbo zake basi atakubalika tu.Kwa management ipi ?