Msanii wako bora wa mwaka 2021 kwenye Bongo Flavour

management inaweza ikawa mbovu au msanii anaweza akawa hana kabisa hiyo management yenyewe lakin kama masanaa atoi boko kwenye nyimbo zake basi atakubalika tu.

management sio kigezo cha kushindwa kuwakimbiza

kama anajua anajua tu
Kama wasanii kujua wapo wengi sana wanaojua lakini account zao zinapumulia mashine. Mashabiki wanaishia tu kuwapa sifa then basi
 
Kama wasanii kujua wapo wengi sana wanaojua lakini account zao zinapumulia mashine. Mashabiki wanaishia tu kuwapa sifa then basi
kama wanajua alafu atuwasikii basi hawajui hao mkuu...

mbona wakina lord music hawana management lakin taratibu wanakuja kwenye ramani
 
Mtaje by Harmonize ,hii ngoma inapenya katikati ya moyo wangu,my best song 2021
 
mkuu usichanganhe mambo hip hop haiusiani na bongo fleva hata kidogo

hip hop ni ulimwengu mzima ujue, hip hop ipo mpaka china

sasa tunakuelewa vipi unavyosema wanaofanya hip hop tanzania wote unawaweka kundi la bongo fleva?
Mimi nazungumzia wasanii wa kitanzania wanaofanya Hiphop.... kwa pamoja bado wataitwa Bongo fleva..coz ile....fleva yao wanayotupa kupitia Hip-hop ni ya hapa hapa Bongo ...so swala la Hiphop kuwa dunia nzima halimake sense
Coz ukichunguza flows,metal folk na vitu km hvo utagundua kila ukanda unao fanya hip hop una utofaut wake.

Mfano Wasanii wanaoimba RnB hapa Bongo tunawaita Bongo fleva ....japokua Hiyo hiyo RnB hata Ulaya Ipo

So usikariri Jaribu kuelewa mkuu
 
Mkuu we ndo huelewi tafsiri ya Neno Bongo Fleva.....
labda nikuulize hili

kwaiyo mkuu msanii wa kitanzania anaye fanya hiphop akienda mbele duniani uko anajitambulisha anafanya hiphop au bongofleva ?
 
acha kupotosha jamii, Hip hop haina ushirikiano wowote na bongofleva
Blngofleva sio genre ya muziki...Bali Ni muziki unaoimbwa Na wabongo Kwa maudhui ya wabongo.
Nyimbo kama we Ni pisi Kali Hizo Ni bongo fleva kabisa
Hip hop bongo Ni Ile wanaoimba watu lakini hawalengi kukimbia wabongo kama Kina slim sal, Fresh like uh...au kama Navy Kenzo kabla ya nahreel Na aika kujitoa
 
Reactions: Qwy
labda nikuulize hili

kwaiyo mkuu msanii wa kitanzania anaye fanya hiphop akienda mbele duniani uko anajitambulisha anafanya hiphop au bongofleva ?
Hilo ni swala Binafsi.... me nazungumzia hapa nyumbani wasanii wote wanaofanya music wako kundi la bongo fleva

Hata ww sijui jinsia yako ila unaweza enda mbele ukajitambulisha we ni pisi kali ...nani atakua na muda wa kukubishia
 
Yes I'm a huge fan of him and hip hop in general

Soon atakuja jf hapa, dizasta tayari tupo nae humu
Kama anaona hii comment ajue tupo nae pamoja numeanza kumkubali

Kibao chake cha kikaoni nakikubali mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…