Msanii Young D amfuata mwanae, apiga picha na mama mtoto

Joined
Jun 28, 2016
Posts
21
Reaction score
22
Baada ya vuta nkuvute za hapa na pale about ishu ya young D kumkana mwanae.....the man aliomba radhi na kuelezea kilichotokea...Well kaamua rasmi kuprove kwamba amempokea mwanae na yuko nae poa kinyama. Kaenda kumuona na we have some picturez.[HASHTAG]#sasa[/HASHTAG] je.....unasemaje kuhusu hili....sio mbaya ukiacha comment yako moja hatari sana......
 
Katoto kazuriii hadi raha..
And of course katoto kamempa kiki balaa kila mtu anampongeza sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…