Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kweli vizazi vinapita,mtu leo hata ukisikia kitorondo unahisi kuna kitu unamiss,zamani nilikiwa sipendi zilipendwa but siku hizi nasikikiza vizuri na kuenjoy mambo ya "GEorgina",rangi ya chungwa" we bwana nipe pesa"kasuku"
Aaaaah!
Aayaaaa lile limdundo la tamala ni kwikwi, then kulikuwa na baby girl ya mad ice. Afu na kuna ile ya q chillah ilikuwa inaimbwa "yale mapenzi ulonipa jana, kesho nitarudi tena, utamu sio utamu mama, kesho nipe zaidi ya jana girl", basi hapo ni uuuuuh
Daaah, yaani mule mule. Kama tulikuwa wote vile
Ayaaaa niliisahauje ya dudubaya "nakupenda mpenzi usiyependa chapa". Mie ilikuwa mdundo ukianza tu, basi tutaonana ukisikia dj kazima muziki. Loooh nimemiss life lile hahaha
Sokoine ni marehemu kwa sasa.. alishafariki muda mrefu..
Aayaaaa lile limdundo la tamala ni kwikwi, then kulikuwa na baby girl ya mad ice. Afu na kuna ile ya q chillah ilikuwa inaimbwa "yale mapenzi ulonipa jana, kesho nitarudi tena, utamu sio utamu mama, kesho nipe zaidi ya jana girl", basi hapo ni uuuuuh
Yap.. Hasa wazazi wakiwa influential kwenyr public, utakoma. You can hardly live your dream.
Mama yake Navio alikubali matokeo..
Bebe cool alifukuzwa nyumbani coz kipindi anaanza kuimba baba yake alikua waziri...
And the list goes on.. Wazazi ni wachache wanaoruhusu watoto wao wafanye wakipendacho...
Umesahau na johnny song lako. Sasa hivi na utu uzima huu, viuno vishakomaaa wee, kushindana na vitoto vya siku hizi utategua tu kiuno kama sio kuvunja miguu. Basi inabidi tu ni opt kwenye salsa na rhumba yani full zilipendwa. teh teh teh ikipigwa tu rangi ya chungwa na zile kina georgina ndo najifanya mjanja hahaah
Alafu ghafla DJ aingizie Mabinti wa Kibongo ya BizMan...
daah tamala Is one of the best
Haaaaahaaa hakuna kushake tena ni mwendo wa kuboogie down!!
yaaa naumkumbuka saanaana,hardman alikuwa mkali saana,muziki wake ulikuwa ni next levelAcha tu tamala, alikuwa na ule wimbo wake mwingine NI WEWE. "Ni wewe unayenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia, (ni wewe) unayejua mpenzi wako sina fedha ukavumilia". Daaah nimekumbuka mbali mno
Kila zama na kitabu chakeDaah acha kabisa. Now hadi bwana misosi nishaanza kumsahau. Sijamsikia siku nyingi
Kila zama na kitabu chake
Noma saaana.Jamani "nalala usingizi nawaota wao, natazama runinga nawaota wao, likipigwa ragga ragga wanacheza wao, mabinti wa kibongo sifa ziende kwao". Kwenye video yake kuna mdada ni alikuwa anacheza huyooo duuh