Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2002 aliingia rasmi kwa music na alifanikiwa kutoa nyimbo ya Eno mic ambayo alimshirikisha msanii Bob Wine wa Uganda.
.
"enomaiki yazigidisha sana ouuuuu, sjui nini nanini motima ouuuu"
Hahahaaaa hata mimi nilikua naimba hivyo lakini sivyo...
Ni enomic ya zigiditesaga.....
Baada ya hapo hakusikika tena zaidi ya kuzungumza kwenye interview kwamba atatoa album ya nyimbo 24 zenye lugha tofauti lakin hakusikika sana.
Je huyu mtu nauliza yuko wap sasa.[/SIZE][/FONT]
Baada ya Sunda alitoa nyimbo nyingine kwa jina la Doctor..
And thats when family decided to stop him from doing music because he had joined Fire Base Crew, headed by Bobi wine.
The group was claimed to comprise bad and ill manner drug addicts from the ghettos of Kamwokya..with the likes of Buchaman, Eddy Yawe RIP, Bebe Cool etc. The family flew him to the UK, and he has taken the silent lane ever since.
"enomaiki yazigidisha sana ouuuuu, sjui nini nanini motima ouuuu"
maskinii dah alafu wasanii wengi wanaozuiwa kuimba na parents wao ndo wanakua shida sana
-life iz not fea
Mayooooo kipindi hicho ipigwe enomic, ikiisha kinawekwa kitu mabinti wa kitanga hahahaha weka mbali na watoto
Hhhaaa ni shidaaa sasa hivi ni Azonto, kitorondo,,Skerewu
Eeeeh wanajua kujipamba,,eeeh kwa mapozi wanatambaa,,,eeh.
Maisha yanaenda kasi sana aisee
Baada ya Sunda alitoa nyimbo nyingine kwa jina la Doctor..
And thats when family decided to stop him from doing music because he had joined Fire Base Crew, headed by Bobi wine.
The group was claimed to comprise bad and ill manner drug addicts from the ghettos of Kamwokya..with the likes of Buchaman, Eddy Yawe RIP, Bebe Cool etc. The family flew him to the UK, and he has taken the silent lane ever since.
Baada ya Sunda alitoa nyimbo nyingine kwa jina la Doctor..
And thats when family decided to stop him from doing music because he had joined Fire Base Crew, headed by Bobi wine.
The group was claimed to comprise bad and ill manner drug addicts from the ghettos of Kamwokya..with the likes of Buchaman, Eddy Yawe RIP, Bebe Cool etc. The family flew him to the UK, and he has taken the silent lane ever since.
thanks for news,where mr sokoine Is ? aliimba nyimbo ya mi naona usiku usiingie,redudancy x3 limenikumbumba leo nalia napiga mayowe mtu mzima nimeumbuka...
Mayooooo kipindi hicho ipigwe enomic, ikiisha kinawekwa kitu mabinti wa kitanga hahahaha weka mbali na watoto
Na iongezwe hapo kitu cha hardman "tamala"
Aayaaaa lile limdundo la tamala ni kwikwi, then kulikuwa na baby girl ya mad ice. Afu na kuna ile ya q chillah ilikuwa inaimbwa "yale mapenzi ulonipa jana, kesho nitarudi tena, utamu sio utamu mama, kesho nipe zaidi ya jana girl", basi hapo ni uuuuuh
Hahaha kuna kile cha mez b na ray c "kama vip".
Halafu dudubYa "nakupenda mpenzi".
Aiseee hizo ngoma zikigongwa nilikuwa lazima nicheze navyojijua
Ayaaaa niliisahauje ya dudubaya "nakupenda mpenzi usiyependa chapa". Mie ilikuwa mdundo ukianza tu, basi tutaonana ukisikia dj kazima muziki. Loooh nimemiss life lile hahaha