Kama ulishapata CPA soma course nyingine mkuu.otherwise Mzumbe ni jina kubwa kuliko IFM tunazungumzia mambo ya popularity ya chuo InternationalyKwa wale waliopita vyuo vya IFM na IAA,
Naomba ushauri wenu wa wapi pazuri kusoma hiyo Master ya Accounting & Finance.Ninachohitaji zaidi ni kuhusu Resources na Course contents.
Wapi naweza kutoboa vizuri hasa ikizingatiwa ni muajiriwa na muda wa kujisomea ni mdogo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
Nenda IAA hapo IFM Pamejaa drama tu.Kwa wale waliopita vyuo vya IFM na IAA,
Naomba ushauri wenu wa wapi pazuri kusoma hiyo Master ya Accounting & Finance.Ninachohitaji zaidi ni kuhusu Resources na Course contents.
Wapi naweza kutoboa vizuri hasa ikizingatiwa ni muajiriwa na muda wa kujisomea ni mdogo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
Nashukuru kwa maoni yako.Nenda IAA hapo IFM Pamejaa drama tu.
Kwa maoni yangu lakini.
Mkuu nenda IFM,Nina CPA(T) lakini nataka niwe mbobevu wa Accounting and Finance.
Mzumbe hawana hiyo Course kwa hapa Dar es Salaam.
Hakuna ukweli katika hili MkuuNenda IAA hapo IFM Pamejaa drama tu.
Kwa maoni yangu lakini.
Kama nilivyo hitimisha hiyo ni kwamaoni yangu tu.Hakuna ukweli katika hili Mkuu