Kwa wale waliopita vyuo vya IFM na IAA,
Naomba ushauri wenu wa wapi pazuri kusoma hiyo Master ya Accounting & Finance.Ninachohitaji zaidi ni kuhusu Resources na Course contents.
Wapi naweza kutoboa vizuri hasa ikizingatiwa ni muajiriwa na muda wa kujisomea ni mdogo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
Naomba ushauri wenu wa wapi pazuri kusoma hiyo Master ya Accounting & Finance.Ninachohitaji zaidi ni kuhusu Resources na Course contents.
Wapi naweza kutoboa vizuri hasa ikizingatiwa ni muajiriwa na muda wa kujisomea ni mdogo.
Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.