Wewe mpaka unatafakari kusoma masters hujajua kama inalipa au hailipi? Kweli bongo ina vilaza wengi sana.
Kajifunze kufikiri kwa kishindo kwanza mazee.
Wewe mpaka unatafakari kusoma masters hujajua kama inalipa au hailipi? Kweli bongo ina vilaza wengi sana.
Kajifunze kufikiri kwa kishindo kwanza mazee.
Siyo ukilaza bali ni mfumo wa maisha tulionao, wengi wanasoma vitu si kwa kujua manufaa yake bali ni nafasi imepatikana naye anavyo vigezo basi, ndo maana watembeza bahasha wanaongezeka mitaani.
Siyo ukilaza bali ni mfumo wa maisha tulionao, wengi wanasoma vitu si kwa kujua manufaa yake bali ni nafasi imepatikana naye anavyo vigezo basi, ndo maana watembeza bahasha wanaongezeka mitaani.