..Nimesoma nje ya TZ !
What does you mean?
A postgraduate diploma is a postgraduate qualification awarded typically after a bachelor's degree. It can be contrasted with a graduate diploma. Countries that award postgraduate diplomas include Australia, Brazil, Canada, Chile, the United Kingdom, Spain, South Africa, India, Ireland, the Netherlands, New Zealand, the Philippines, Portugal,Russia, Sri Lanka, Pakistan, Poland and Singapore
Umesoma nchi gani?
Wikipedia:
"Not acceptable" kwa nani? Kwa matumizi gani?Wikipedia is not acceptable reference
What does you mean?Sijakusoma bado ulicho jaribu kuniambia!
Wikipedia is not acceptable reference
What does you mean?Sijakusoma bado ulicho jaribu kuniambia!
What does you mean?Sijakusoma bado ulicho jaribu kuniambia!
What is this?Nimekukosea nn hadi utumie lugha ya hovyo hovyo na ya ajabu kama hii dhidi yangu?What the hell?
Sijawahi mkosdea heshima mtu yyt hapa na sitegemei wewe kunikosea mm adabu!JF ituunganishe na isiwe chanzo cha watu wengine kutumia vibaya haki zao za kuandika!
Hata mm nina weza kuandika kama ulivyo andika na hapa sio mahali pake!Jiheshimu tafadhali na sio wewe tu ndiyo bingwa wa kuandika lugha za mitaani!
Acha uswahili!
Umesoma nchi gani?
Wikipedia:
Mm mwenyewe huwa nafikir post graduate ndio masters na kuendelea...
Wape Hi! ughaibuni. 😛ound:
Siwezi saidia lolote maana mm mambo sijui ya post graduate huwa sijui ni nn?
Mm najua unasoma associate unaenda Bachelor unaenda Masters then PhD!Najua mpangilio wa elimu za Magharibi!
Post graduate si ndiyo Masters au ni bachelor?
Lipi gumu!!!????Halafu huko western ndio "does" na "do" inatumikaje!!!!!?????
Context?!!!
Orientation???!!
Kwamba hiyo western orientation "unaisingizia kuwa haikupi uwezo kujua post graduate"???!!!!
Au huelewi kuwa orientation ni conext based na kila context ina culture yake katika kuelewa kupanga na hata uandishi achilia mbali perspectives/mental windows!!!!????
Au huelewi kuwa post yako ya kwanza ndio iliyotibua nyongo ya baadhi yetu????!!!!!
Lipi gumu!!!????Halafu huko western ndio "does" na "do" inatumikaje!!!!!?????
Context?!!!
Orientation???!!
Kwamba hiyo western orientation "unaisingizia kuwa haikupi uwezo kujua post graduate"???!!!!
Au huelewi kuwa orientation ni conext based na kila context ina culture yake katika kuelewa kupanga na hata uandishi achilia mbali perspectives/mental windows!!!!????
Au huelewi kuwa post yako ya kwanza ndio iliyotibua nyongo ya baadhi yetu????!!!!!
Sa kama huelewi unajibu nini?si unyamaze usubiri maswali yatakayohusu huko magharibi
Wee jamaa umesoma nje ya wapi, malawi au? Labda uniambie Australia si miongoni mwa nchi za magharibi (which is wrong) lkn kuna vyuo vingi tu vinatoa postgraduate diploma. Unasena nnMkuu!
Nimesoma nje ya TZ !Hawana haya mambo ya post graduate NA KWA KWELI NINGEPENDA SANA KUJUA maana yake ni nn!Could you pls help me what is this?